Pre GE2025 Makonda awatafutia vijana nafasi 1000 za kusoma nchini lndia. Huyu kijana ni kiongozi mbunifu sana, Rais Samia mtumie vizuri Makonda

Pre GE2025 Makonda awatafutia vijana nafasi 1000 za kusoma nchini lndia. Huyu kijana ni kiongozi mbunifu sana, Rais Samia mtumie vizuri Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anaingia bungeni tunataka kumpa uwaziri wa Kazi,
Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kumchagua makonda hata ndani ya ccm yenyewe .
Bashite hajawahi kushinda kwa kuchaguliwa kwenye nafasi yeyote ya uongozi na haitaka itokee
 
Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.

Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.

Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.

Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.


==

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, amekutana na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Bishwadip Wey, kujadili fursa mbalimbali kwa vijana wa Arusha. Miongoni mwa mambo waliyoafikiana ni kongamano kubwa la Artificial Intelligence (AI) litakalofanyika Mei 2025, ambapo mtaalamu kutoka Marekani atatoa elimu kwa vijana wa mkoa huo.

Mazungumzo yao pia yamejumuisha ushirikiano wa Arusha na chuo cha Zanzibar kinachofadhiliwa na Serikali ya India ili kuimarisha matumizi ya AI katika kazi mbalimbali. Aidha, wamekubaliana kuanzisha kilimo cha mitishamba kwa ajili ya dawa za asili, ufadhili wa masomo kwa vijana 1,000 nchini India, na mafunzo ya upishi kwa wapishi 50 wa Kitanzania kujifunza mapishi ya Kihindi ili kuvutia watalii.

Fursa nyingine muhimu ni kuimarisha kilimo cha maembe kwa ajili ya soko la India, nchi ambayo ina mahitaji makubwa ya unga wa maembe. Hatua hizi zitawanufaisha vijana wa Arusha kwa kuwapatia maarifa, ajira, na fursa za biashara zinazotokana na ushirikiano huu wa kimataifa.
Anamjua Gabacholi vizuri lakini? Maelezo ya hivyo yametolewa sana Nchi hii ila hakuna results .

Pia Tanzania Ina makubaliano na India kwenye scholarship ila balozi hawezi toa hizo nafasi 1,000 kama haipo kwenye MoU zitaishia kuwa ni porojo.

Mwisho mambo ya mapishi ndio anayaweza Sasa 😂😂
 
Wewe ni hater huwezi kuona mazuri yake! Kwa hiyo wewe kwa sababu ya ujinga wako unaongeaga na watu ili kuokoteza kasoro zao?
Kama ametenda mema kwa wachache basi waache wamsifie!
Nimekwambia itajie kiongozi ambaye wewe unamuona ni mwema kuliko Makonda tumjue!
Wewe mwenyewe hapo una mabwerebwenye kibao au kwa vile huna cheo!
Hater ni hater tu!
Mkuu bora ungejenga hoja tu...yawezekana mimi ndiye Makonda mwenyewe uwezi juwa; Jenga hoja acha kusema sina cheo au mimi ni hater kwasababu hunifahamu.
Kukosekana kwa kiongozi mzuri siyo justification ya kumfanya Mh. Makonda kuwa kiongozi mzuri.
 
Kichwa cha habari ni tofauti na porojo za ndani. Katafutia vijana 1,000 kusomea fani gani, na nani atawalipia hayo masomo, kama tu humu nchini serekali inashindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wa chuo?
Amekuambia watapata ufadhili huelewi kitu gani
 
Mkuu wa mkoa bora ni Antony Mtaka that man is innovative,passionate,visionary hawa wanaokaa mjini na kuomba hela kwa matajiri na kuwapa watu pipi hakuna maana
Ameinnovate kitu gani kusifia wanawake wa Njombe kuwa wanamiliki milioni 500 lakini utawakuta wanakuna nazi sokoni? Amebuni nini? Kumiliki 500M benki bado unakuna nazi sokoni ni ujinga na ushamba, waelimishwe wawekeze hela.
 
Huyo Mtaka ndo unasema anauwezo kuliko Makonda!
How? Kujieleza kwa utulivu kivipi?
Lipi amefanya bora zaidi ya Makonda?.
Kwanza kama hujui huyo Mtaka ni moja ya viongozi wasio fikika kwa urahisi.
Ashakuwa Mkuu wa mkoa wa Dodoma mbona aliondolewa akapelekwa mkoa mdogo wa Njombe! Ulishajiuliza kwa nini hakupelekwa Mwanza ,Dar au Arusha mikoa Mikubwa kwa nchi hii?
Mtaka hana lolote ni kada tu wa kawaida!
Pole kijana, hatoweza kuelewa... endelea kushabikia huyo bashitemakamera wenu
 
Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa.

Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania.

Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana angepewa uwaziri wa Kazi bila shaka angepunguza gap la ajira nchini.

Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda, wewe pia ni tunu ya Taifa.


==

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, amekutana na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Bishwadip Wey, kujadili fursa mbalimbali kwa vijana wa Arusha. Miongoni mwa mambo waliyoafikiana ni kongamano kubwa la Artificial Intelligence (AI) litakalofanyika Mei 2025, ambapo mtaalamu kutoka Marekani atatoa elimu kwa vijana wa mkoa huo.

Mazungumzo yao pia yamejumuisha ushirikiano wa Arusha na chuo cha Zanzibar kinachofadhiliwa na Serikali ya India ili kuimarisha matumizi ya AI katika kazi mbalimbali. Aidha, wamekubaliana kuanzisha kilimo cha mitishamba kwa ajili ya dawa za asili, ufadhili wa masomo kwa vijana 1,000 nchini India, na mafunzo ya upishi kwa wapishi 50 wa Kitanzania kujifunza mapishi ya Kihindi ili kuvutia watalii.

Fursa nyingine muhimu ni kuimarisha kilimo cha maembe kwa ajili ya soko la India, nchi ambayo ina mahitaji makubwa ya unga wa maembe. Hatua hizi zitawanufaisha vijana wa Arusha kwa kuwapatia maarifa, ajira, na fursa za biashara zinazotokana na ushirikiano huu wa kimataifa.
Ajitafutie yeye kwanza nafasi ya kusoma NECTA kwa jina lake halisi la Daud Albert Bashite ili aliache jina la forgery la Paul Cristian Makonda.

Huyu mbwa anapenda sana mapichapicha lakini ni ZEROBRAIN. Hakuna namna Mkuu wa Mkoa anaweza kutafuta fursa ya vijana kusoma nje ya Tanzania. Hiyo ni kazi ya Wizara ya Elimu, period.

Lakini WAJUNGA wanamuamini mbwa huyu muuaji
 
Makonda kwa kweli yupo vizuri mkuu, ni zaidi ya waziri mkuu
Hii nchi ina wajinga wengi sana. Yaani Makonda Zerobrain awe Waziri Mkuu? Kwa kitu gani anachoweza zaidi ya rekodi uuaji, uporaji wa mali za matajiri, utekaji?

Mtu mwenyewe kwanza LGBT
 
Hii nchi ina wajinga wengi sana. Yaani Makonda Zerobrain awe Waziri Mkuu? Kwa kitu gani anachoweza zaidi ya rekodi uuaji, uporaji wa mali za matajiri, utekaji?

Mtu mwenyewe kwanza LGBT
Ulikugusa passport gusika! Uzuri Mungu hapangiwe!
Jamaa kakuzidi kila kitu kwenye mafanikio na kufahamika!
Endelea kuumia pole sana!
 
Back
Top Bottom