Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

yuleMskinny

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2017
Posts
242
Reaction score
136

Jana usiku huko Element ambapo msanii Omarion alikua akitumbuiza, Mkuu wa Mkoa wa DSM alikuepo pia na Kutokana na habari zilizosambazwa na Mangekimambi ni kwamba kulitokea na mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na Msanii huyo wa Marekani, Omarion na kusababisha shughuli io kuisha mapema na msanii huyo kujawa na Jazba. Fuatilia zaidi
 
Udaku.com

Kama kawaida

Screenshot_20171030-074503.jpg


Screenshot_20171030-091900.jpg

Screenshot_20171030-091926.jpg

Screenshot_20171030-091948.jpg

Screenshot_20171030-092211.jpg

Screenshot_20171030-091832.jpg
 
Back
Top Bottom