Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

kuna msemo unaosema sikio halizidi kichwa , RC kwa ulichokifanya jana tambua ya kwamba kitapita ila haitasahaulika, unatengeneza chuki sana na wadau wa dsm. Haijengi bali inabomoa

imeshangaza sana eti unataka kumpima ubavu msanii, ndio ni mdogo sana kwa madaraka uliyonayo ila nani amesema madaraka utakuwa nayo milele?

Unaharibu biashara na reputation za watu, na yako pia..kuna haja gani ya kutumia ubabe kila mahali?je ni kutaka kutambulika?umaarufu?umwamba?inakusaidia nini?

ifikie mahali utambue kuwa jiji la dsm ni la starehe(jaribu kuangalia jiji kama la las vegas), tengeneza mazingira ya wakazi wa dsm na mikoani kuja na kufanya starehe kwa usalama, huwezi kuzuia watu kufurahi na jukumu lako ni kuhakikisha kuna mzunguko mkubwa wa hela, mazingira masafi, utendaji kazi mzuri na ulinzi wa kutosha, then kila kitu kitaenda sawa

hauna miliki ya chochote katika jiji la dsm, wala wakazi wake na baada ya mda hautakuwa hapo. inauma sana unapojifanya wewe ndiye kila kitu...time will tell and you will regret someday
 
kuna msemo unaosema sikio halizidi kichwa , RC kwa ulichokifanya jana tambua ya kwamba kitapita ila haitasahaulika, unatengeneza chuki sana na wadau wa dsm. Haijengi bali inabomoa

imeshangaza sana eti unataka kumpima ubavu msanii, ndio ni mdogo sana kwa madaraka uliyonayo ila nani amesema madaraka utakuwa nayo milele?

Unaharibu biashara na reputation za watu, na yako pia..kuna haja gani ya kutumia ubabe kila mahali?je ni kutaka kutambulika?umaarufu?umwamba?inakusaidia nini?

ifikie mahali utambue kuwa jiji la dsm ni la starehe(jaribu kuangalia jiji kama la las vegas), tengeneza mazingira ya wakazi wa dsm na mikoani kuja na kufanya starehe kwa usalama, huwezi kuzuia watu kufurahi na jukumu lako ni kuhakikisha kuna mzunguko mkubwa wa hela, mazingira masafi, utendaji kazi mzuri na ulinzi wa kutosha, then kila kitu kitaenda sawa

hauna miliki ya chochote katika jiji la dsm, wala wakazi wake na baada ya mda hautakuwa hapo. inauma sana unapojifanya wewe ndiye kila kitu...time will tell and you will regret someday
point taken akiskia askie
 
Huyu lemutuz amekuwa msemaji wa serikali? Nchi imepewa washamba kuongoza basi kila mshika pembe anapayuka tu atakavyo huku Limutuz kule Jenny Muro basi tafrani tupu si bure wabunge wetu wanakimbia ccm sasa mfyuuuuu.

Wivu.com
 
Sijui kama watakuelewa
kuna msemo unaosema sikio halizidi kichwa , RC kwa ulichokifanya jana tambua ya kwamba kitapita ila haitasahaulika, unatengeneza chuki sana na wadau wa dsm. Haijengi bali inabomoa

imeshangaza sana eti unataka kumpima ubavu msanii, ndio ni mdogo sana kwa madaraka uliyonayo ila nani amesema madaraka utakuwa nayo milele?

Unaharibu biashara na reputation za watu, na yako pia..kuna haja gani ya kutumia ubabe kila mahali?je ni kutaka kutambulika?umaarufu?umwamba?inakusaidia nini?

ifikie mahali utambue kuwa jiji la dsm ni la starehe(jaribu kuangalia jiji kama la las vegas), tengeneza mazingira ya wakazi wa dsm na mikoani kuja na kufanya starehe kwa usalama, huwezi kuzuia watu kufurahi na jukumu lako ni kuhakikisha kuna mzunguko mkubwa wa hela, mazingira masafi, utendaji kazi mzuri na ulinzi wa kutosha, then kila kitu kitaenda sawa

hauna miliki ya chochote katika jiji la dsm, wala wakazi wake na baada ya mda hautakuwa hapo. inauma sana unapojifanya wewe ndiye kila kitu...time will tell and you will regret someday
 
Eeeeeeh
uliyemtaja simjui
ILA
Sheria ni sheria
Walioandaaa lazima iwe Jumapili ni kosa lao huku ni eneo la makazi ya watu na wanapiga muziki wao

Wasingezima mngesema kwasababu msanii huyo na wageni wake wa WCB wapo karibu na RC ndio maana wameruhusiwa kuvunja sheria...
Umemaliza mkuu
 
Haaa! wivu wa nini na kwa nani? Li mutuz ambae hata maisha ya familia yamemshinda? Anaishi kama under 18 wakati ni above 50? Wivu wa kukesha kwenye nyumba za starehe na kupiga picha na makonda? Haya huyo Muro amefeli kila sekta yaani hata kazi ya USEMAJI tu ameshindwa amebaki kuropoka nae nimuonee wivu? Kwa lipi! kupiga picha na Makonda? Haahaaahaa! umenishangaza kweli kweli.
 
Haha hii ilikua ni show ya Omarion hahahahhahhahhahahahhahhahah
Jamaa ndiye aliyezengua kwanza, hakutokea kwenye press conf, so wadau wakahamasishana wagomee show....kama alivyofanyiwa Kofii Kenya sema yeye alirudishwa kwao kabla ya show...ila angefanya show angekula za uso.

So kama imemtokea kisanga tena na Dar basi Omari si mwenye bahati huku Africa.
 
4d9f03fda10686a40ed6d3bfd544dcb1.jpg

.
Ka maliamungu kako mzigoni.
 
nasikia eti alialikwa kwenye harusi akalazimisha kukaa kwenye kiti cha bibiharusi ahaaaa eti ni mkuu wa nini sijui

Eeeeh
Halafu hicho kiti hakuna aliyekipiga picha kabisaaa na msanii wa watu alikuwa busy amesimamma anaburudika na kuimba akaimba.
 
Back
Top Bottom