DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,966
Sawa mtangazaji wa Mange TV tumekusikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesoma basi hata maelezo siku ya tarehe usika iliyopangwa hakufika akaja kesho yake watu wakasusa 😵Hawa jamaa wakishachuja ndio wanaikumbuka afika. Sio bure huko Namibia O aliambulia patupu
View attachment 620516
F f f naskiaa zilikuwa nyingi sana mtu kapewaSawa mtangazaji wa Mange TV tumekusikia
ila tuseme kweli jamaa mshamba sana yaani.omba Mungu akunyime yote ila sio hekima yaani.Eeeeh
Halafu hicho kiti hakuna aliyekipiga picha kabisaaa na msanii wa watu alikuwa busy amesimamma anaburudika na kuimba akaimba.
ila tuseme kweli jamaa mshamba sana yaani.omba Mungu akunyime yote ila sio hekima yaani.
wa kila kitu katika maishaUshamba gani unaongelea?
Usijitoe ufahamu,kama humjui basi ni suala la muda utamjua tuuEeeeeeh
uliyemtaja simjui
ILA
Sheria ni sheria
Walioandaaa lazima iwe Jumapili ni kosa lao huku ni eneo la makazi ya watu na wanapiga muziki wao
Wasingezima mngesema kwasababu msanii huyo na wageni wake wa WCB wapo karibu na RC ndio maana wameruhusiwa kuvunja sheria...
Kwahiyo umemuona Mange tuu ndio ana roho ya chuki ila hao wengine hujawaona sio,msiambiwe ukweli nyie ni nan?...,Hivi mange neno lake ndio sheria, kila kitu mange kasema, hata kama hamumpendi makonda acheni uzushi, hiyo habari si kweli hivi nyinyi mnategemea mange kuandika kizuri cha makonda. Ila huyu dada ataumwa magonjwa ambayo hayatibiki kwani moyo wake ameujaza chuki, najua kuna watu watanibishia ila kwa faida yako kiroho, jaribu kwenda hija Pugu (kwa wakatoliki ,alafu utakutana na padri atakupa semina ) ndio utajua nini nguvu ya upendo na msamaha, na utajua madhara ya chuki, chuki inaweza ikakusababishia hata magonjwa yasiyotibika na kama hukupata msaada wa kiroho unaweza ukafa au hata kuwa kama chizi na muogope sana mtu anayeongozwa na chuki, kwani kinywa chake ni chanzo cha mifarakano ktk jamii yoyote na maneno yake ni sumu, mm huyu binti simuelewi anataka nini, yupo kama sigara Kali.
Sawa team "Mange kasema"F f f naskiaa zilikuwa nyingi sana mtu kapewa
Ova
Unaachaje ss kuwatetea hao wanaokuweka mjini,kwa mfano labdaWivu.com
Labda anataka uwe kama wao,kiuhalisia lemutuz alitakiwa awe na kijana rika la bashite lkn ndio hivyo amebaki kumfuata jamaa hapo nyuma tu na kuwa msemaji wakeHaaa! wivu wa nini na kwa nani? Li mutuz ambae hata maisha ya familia yamemshinda? Anaishi kama under 18 wakati ni above 50? Wivu wa kukesha kwenye nyumba za starehe na kupiga picha na makonda? Haya huyo Muro amefeli kila sekta yaani hata kazi ya USEMAJI tu ameshindwa amebaki kuropoka nae nimuonee wivu? Kwa lipi! kupiga picha na Makonda? Haahaaahaa! umenishangaza kweli kweli.
Aiseee labda tumuulize cocochanel ndio anaweza akawa na jibu la hili swali lako,yy na lemutuz wamekuwa wasemaji wa mkuu sijui wa nin...nasikia eti alialikwa kwenye harusi akalazimisha kukaa kwenye kiti cha bibiharusi ahaaaa eti ni mkuu wa nini sijui
Sawa msemaji wa DAB tumekusikiaEeeeh
Halafu hicho kiti hakuna aliyekipiga picha kabisaaa na msanii wa watu alikuwa busy amesimamma anaburudika na kuimba akaimba.
wapenda hbr z udaku kuliko kaz',,,,Jana usiku huko Element ambapo msanii Omarion alikua akitumbuiza, Mkuu wa Mkoa wa DSM alikuepo pia na Kutokana na habari zilizosambazwa na Mangekimambi ni kwamba kulitokea na mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na Msanii huyo wa Marekani, Omarion na kusababisha shughuli io kuisha mapema na msanii huyo kujawa na Jazba. Fuatilia zaidi
Hivi unajua huyo Mrs DAB(cocochanel) anajua unamzungumzia Omarion?,aiseee hayo mahaba aliyonayo kwa jamaa ...ila tuseme kweli jamaa mshamba sana yaani.omba Mungu akunyime yote ila sio hekima yaani.
ameelewa sanaHivi unajua huyo Mrs DAB(cocochanel) anajua unamzungumzia Omarion?,aiseee hayo mahaba aliyonayo kwa jamaa ...
Hasa hasa yule kiranja wa mkoa na kaka mkuu wa taifaHata ccm watapata magonjwa yasiyotibika kwa kuwaonea wanyonge