Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

Nilikua siamin kwamba hauna akili baada ya kuangalia "video yako" sasa ninaamin!
 
Jiji limemshinda,mipango yake yote ya maendeleo anayotaka kufanya haifanikiwi!
Ndomana anakimbiliaa kwenye vitamasha kujionesha

Ova
 
mambo yake binafsi na yasio na afya na nchi hayana maana ni yeye na mapunga zeze wenzake!
 
Usijali mange ni fan mkubwa wa makonda ndio maana anafatilia kila akifanyacho Rais wa dai. Ni uongo wanaotaka kuuweka kwenye ukwel
mbona hamna video akifanya fujo zaidi ya upuuzi wa Mange
 
fight night
 
Ina maan huyu omarion kakosa sehemu za kupiga show ulaya mpaka anafikia kufanya show kiwanja kama Elements?
 
Ina maan huyu omarion kakosa sehemu za kupiga show ulaya mpaka anafikia kufanya show kiwanja kama Elements?
 

- Majungu at best, I was there kwenye Show hakuna wakati wowote RC alikutana na Omarion ambaye alipoingia ailkwenda moja kwa moja jukwaani kuanza ku perform, RC alindoka 30 Minutes kabla Omarion hajamaliza show yake, hata sehemu za kukaa zilikuwa tofauti kabisa, Omarion alipangwa kukaa na Diamond upande wao na RC alipangiwa upande tofauti kabisa,

- Nimeamini ni Taifa la wazushi na ndio maana Rais wa sasa amegoma kabisa kusikiliza mitandao maana inaongozwa na watu wasiojitambua kabisa, Sheria inasema unapopiga muziki wa wazi mkoa wa Dar ni lazima umalize by Saa Sita ili usisumbue wananchi wanapumzika majumbani mwao, Elements huwa wameziba ila siku hiyo walitanua ukumbi na kuwa wazi kama nje ndio maana ilibidi wamalize Saa Sita kama wengine wote,

I mean hata Zamaradi alipoolewa tuliambiwa na RC ndiye chanzo cha Zama kumuacha Ruge, jamani haya ni maajabu ya Dunia ndio maana Tanzania itaendelea kuongozwa na Wazee maana Vijana kazi ni kupigwa vita na Vijana wenzao, tizama Gavana mpya wa BOT ni mzee alitakiwa kuwa kijana mdogo, lakini imagine apewe kijana mdogo makelele ya Mitandao, sad!

le Mutuz
 
Huyu jamaa fala sana. Ina maana watu waliokua Element wakaona walikua wanaona mazingaumbwe?
 
Wewe ni kijana au mzee? Mbona hujapewa cheo chochote hadi sasa kama nawe sio mpiga majungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…