Pre GE2025 Makonda: CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa. Lissu hawezi kuwa Rais wa Tanzania, anaishi nje na kuja nchini kimatukio

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyo Makonda ingekuwa bora angejikita kwenye mambo ya maana kama vile kutoa majibu kwa nini kuna inflation na kwa nini wahitimu wa kidato cha nne wengi wamepata division IV licha ya serikali kusema imewekeza mabilioni ya pesa kwenye programu ya elimu bure.Nchi hii ina matatizo luluki ambayo yanatakiwa kupatiwa ufumbuzi kuliko kuendelea Kuwananga akina Lissu
 
Lakini Makonda ni katibu Mwenyezi CCM, huku Chadema pia ni Mwenezi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Je Makonda ulihusika na Shambulio la Lissu ? Au nikamuulize mama yangu ?

Lisu yupo na alisema alirudi tanzania atamtakaja aliyemuumiza kwa masasi ,sasa mbona lisu hasemi chochote na makonda yupo tu kama lisu ana ushahidi wa kutosha kwa nini asiende mahakamani na kama RB anayo kwanini asiwambie polisi wamsaidie kumkamata
 
KWANI Wewe unaeishi KOLOMIJE ndio utakuwa RAIS wa TANZANIA?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
huyu si ndo aliongoza genge la wasiojulikana kumshambulia TL KWA KUMMIMINIA RISISIKM ZOTE mbona ajizima data
 
Sioni tofauti na saa 100, muda wote yupo angani.
 
Makonda anajua, lissu akiwa Rais kama yeye makonda kuna mambo anayajua ukweli wake yatajulikana na yanaweza mletea matatizo kama kweli anahusika
 
Watanzania wakiamua kumpigia Kura Tundu Antipas Lissu, Makonda na CCM wataandamana?
Au ndiyo sababu wanapinga Tume Huru ya Uchaguzi kwa nguvu zao zote?
 
Katika kitu cdm wamepatia ni kutijibishana na huyo muhalifu. Wao wanafanya yao wamemuacha anaweweseka. Kujibishana na huyo muhalifu ni kumpa uhalali wa kisiasa asiokuwa nao. Yeye alipaswa kuwa jela, na sio kwenye majukwaa ya kisiasa.
Nakumbuka nikiwa mdogo nilifundishwa kuwa;
NEVER ARGUE WITH A FOOL PEOPLE MIGHT NOT NOTICE THE DIFFERENCE. Nawasifu sana Chadema kwa kuienzi falsafa hiyo
 
Yaani hivi kuna mtu anayemsikiliza Makonda. Labda wanachama wa Ccm wachache wanaofikiria teuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…