Makonda: CHADEMA wamekimbia kufanya mikutano na kuanza kulilia vyombo vya habari kufanyiwa mahojiano

Makonda: CHADEMA wamekimbia kufanya mikutano na kuanza kulilia vyombo vya habari kufanyiwa mahojiano

huyu jamaa sijui akili yake ina fangasi. yeye hapo ni kibari kipi anacho tumia .ccm ilishakubari chadema wafanye mikutano kama anavyo fanya yeye ovyo kwa kutumia pesa za serikali
Kwanini mnalilia na kung'ang'ania kwenye ofisi za watu kutaka interview? Kwanini msifungue Tv zenu? Pesa za Ruzuku si mnatafuna zote kama mafisi? Mna mchango gani kwenye Tv ile? Mmewahi kuwalipia kodi au bili za maji au umeme au mishahara? Kwanini mnakuwa na akili ndogo kiasi hicho ninyi CHADEMA? Kwanini mnajidhalilisha kiasi hicho?
 
Kwanini mnalilia na kung'ang'ania kwenye ofisi za watu kutaka interview? Kwanini msifungue Tv zenu? Pesa za Ruzuku si mnatafuna zote kama mafisi? Mna mchango gani kwenye Tv ile? Mmewahi kuwalipia kodi au bili za maji au umeme au mishahara? Kwanini mnakuwa na akili ndogo kiasi hicho ninyi CHADEMA? Kwanini mnajidhalilisha kiasi hicho?
una kumbukumbu au umesahau kama kawaida yako ccm.mara ngapi tunakataliwa au mpaka tuombe tena order kutoka juu
 
Hivi ulisoma shule ya wapi wewe? Unatakiwa ujibu hoja kwa hoja na siyo umekamatwa kwa wizi unaulizwa kwanini umeiba halafu wewe unaanza kusema mbona hata fulani aliibaga? Ndivyo ulivyofundishwa ujengaji wa hoja huo?
Ndo maana Walatin wanasema;
"Ubi praeiudicium regnat, veritas exulat." Yaani kwa lugha rahisi "Animus pollutus caligo est oculis" au kuku rahisishia "Quum animus inquinatur, oculi videre nequeunt"

Yaani "When the mind is polluted the eyes cant see"... Au "The Eyes cant see what the mind already Denied it"

Sasa Nisikilize;

Sijui hata kama unajua Nini maana Ya hoja...
Hakuna Mtu aliyelilia Publicity kutoka kwa Chama Cha wenzetu wa CDM..

Umewahi kujiuliza kama hali ikiachwa hivi na kwa bahati mbaya CDM wakachukua nchi (japo hili siliombei lipitie mbali kabisa)..
Hawawezi kutumia Upuuzi huu huu kuziba maoni Ya raia Wengine?

Lissu alienda kuuliza kuhusu haki yake Ya kikatiba inayolindwa na Katiba ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13 na ibara Ndogo ya 4 na 5 ikilindwa na sheria namba 7 ya mwaka 1994 Kifungu cha 8 kifungu kidogo cha 1 [k]..

Kuhusu Ubaguzi kutoka na Itiqadi na Haiba yake ya kisiasa
Screenshot_20240208_102314_Adobe Acrobat.jpg


Pia nikukumbushe (Kama unajua lakini)
Sheria namba 1 ya 2005 ibara ya 5 inayolindwa na Katiba Ya Tanzania ibara ya 18 kuhusu Uhuru wa Maoni..
Kila mtu anayohaki ya kueleza na kutoa fikra zake kwenye chombo chochote cha Taarifa..
Screenshot_20240208_102431_Adobe Acrobat.jpg


Kama Tunataka Kujenga Taifa la watu wasio kuwa na Elimu wala Uthubutu wa Kuisimamia Katiba na sheria za nchi na kufata matakwa Yao hapo nitakubali ila kama tunataka kujenga Taifa la watu wanaofata Katiba na uthubutu..
Then lissu Yuko sawa..

Sasa sioni Huu uzii wako ulioandika kama una maana yoyote vinginevyo unajaribu kushawishi watu kutokufata katiba..

Na hilo ni kosa la jinai Nikukumbushe tu
Na hii iende kwako na kwa Ujamaa ni mhimu
 
Ndo maana Walatin wanasema;
"Ubi praeiudicium regnat, veritas exulat." Yaani kwa lugha rahisi "Animus pollutus caligo est oculis" au kuku rahisishia "Quum animus inquinatur, oculi videre nequeunt"

Yaani "When the mind is polluted the eyes cant see"... Au "The Eyes cant see what the mind already Denied it"

Sasa Nisikilize;

Sijui hata kama unajua Nini maana Ya hoja...
Hakuna Mtu aliyelilia Publicity kutoka kwa Chama Cha wenzetu wa CDM..

Umewahi kujiuliza kama hali ikiachwa hivi na kwa bahati mbaya CDM wakachukua nchi (japo hili siliombei lipitie mbali kabisa)..
Hawawezi kutumia Upuuzi huu huu kuziba maoni Ya raia Wengine?

Lissu alienda kuuliza kuhusu haki yake Ya kikatiba inayolindwa na Katiba ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13 na ibara Ndogo ya 4 na 5 ikilindwa na sheria namba 7 ya mwaka 1994 Kifungu cha 8 kifungu kidogo cha 1 [k]..

Kuhusu Ubaguzi kutoka na Itiqadi na Haiba yake ya kisiasa
View attachment 2897638

Pia nikukumbushe (Kama unajua lakini)
Sheria namba 1 ya 2005 ibara ya 5 inayolindwa na Katiba Ya Tanzania ibara ya 18 kuhusu Uhuru wa Maoni..
Kila mtu anayohaki ya kueleza na kutoa fikra zake kwenye chombo chochote cha Taarifa..
View attachment 2897640

Kama Tunataka Kujenga Taifa la watu wasio kuwa na Elimu wala Uthubutu wa Kuisimamia Katiba na sheria za nchi na kufata matakwa Yao hapo nitakubali ila kama tunataka kujenga Taifa la watu wanaofata Katiba na uthubutu..
Then lissu Yuko sawa..

Sasa sioni Huu uzii wako ulioandika kama una maana yoyote vinginevyo unajaribu kushawishi watu kutokufata katiba..

Na hilo ni kosa la jinai Nikukumbushe tu
Na hii iende kwako na kwa Ujamaa ni mhimu
Kwani ukiitwa na kupewa taarifa katika chombo cha habari kufanyiwa mahojiano halafu baadaye siku moja kabla ukapewa taarifa kuwa bwana tunapenda kukutaarifu kuwa kipindi tulichotaka kufanya na wewe mahojiano na wewe tumeahirisha na kwamba tutakutafuta wakati mwingine tutakapoandaa .kuna sababu gani uanze kulazimisha kwenda kuvamia ofisi za watu na kuharibu ratiba za watu? Kwani ni lazima yeye kwenda kuhojiwa?

Niambie kuwa ni kifungu kipi cha katiba wangekuwa wamevunja kama wasingemwita Lissu kwenda kufanya mahojiano naye?

Niambie ni kifungu kipi cha katiba wamevunja kama walimwita kwenye mahot na baadaye wakampatia taarifa ya kuahirishwa kwa mahojiano? Acheni kulazimisha vitu.tumieni busara na weledi. Acheni kudanganyana na kupotoshana. Kila haki ina wajibu wake. Wajibu ni pamoja na kusikiliza maelekezo.sasa wewe unapewa maelekezo na maelezo halafu wewe unaanza makelele yako mitandaoni na kuvamia ofisi za watu utafikiri nyumbani kwako.

Fungueni Tv zenu kama mnataka kuonekana sana kwenye tv.si mmepewa mamilioni kwa mamilioni ya pesa kama Ruzuku?
 
Ndo maana Walatin wanasema;
"Ubi praeiudicium regnat, veritas exulat." Yaani kwa lugha rahisi "Animus pollutus caligo est oculis" au kuku rahisishia "Quum animus inquinatur, oculi videre nequeunt"

Yaani "When the mind is polluted the eyes cant see"... Au "The Eyes cant see what the mind already Denied it"

Sasa Nisikilize;

Sijui hata kama unajua Nini maana Ya hoja...
Hakuna Mtu aliyelilia Publicity kutoka kwa Chama Cha wenzetu wa CDM..

Umewahi kujiuliza kama hali ikiachwa hivi na kwa bahati mbaya CDM wakachukua nchi (japo hili siliombei lipitie mbali kabisa)..
Hawawezi kutumia Upuuzi huu huu kuziba maoni Ya raia Wengine?

Lissu alienda kuuliza kuhusu haki yake Ya kikatiba inayolindwa na Katiba ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13 na ibara Ndogo ya 4 na 5 ikilindwa na sheria namba 7 ya mwaka 1994 Kifungu cha 8 kifungu kidogo cha 1 [k]..

Kuhusu Ubaguzi kutoka na Itiqadi na Haiba yake ya kisiasa
View attachment 2897638

Pia nikukumbushe (Kama unajua lakini)
Sheria namba 1 ya 2005 ibara ya 5 inayolindwa na Katiba Ya Tanzania ibara ya 18 kuhusu Uhuru wa Maoni..
Kila mtu anayohaki ya kueleza na kutoa fikra zake kwenye chombo chochote cha Taarifa..
View attachment 2897640

Kama Tunataka Kujenga Taifa la watu wasio kuwa na Elimu wala Uthubutu wa Kuisimamia Katiba na sheria za nchi na kufata matakwa Yao hapo nitakubali ila kama tunataka kujenga Taifa la watu wanaofata Katiba na uthubutu..
Then lissu Yuko sawa..

Sasa sioni Huu uzii wako ulioandika kama una maana yoyote vinginevyo unajaribu kushawishi watu kutokufata katiba..

Na hilo ni kosa la jinai Nikukumbushe tu
Na hii iende kwako na kwa Ujamaa ni mhimu
Umeandika mambo makubwa...
HAWEZI KUELEWA...
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda Mwamba na Jabali la siasa na kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara hapo jana aliitetemesha Mbeya kwelikweli,alilisimamisha jiji na kuteka mioyo ya wananchi , shughuli zote zilisimama na kubaki na shughuli moja tu ya kutega masikio kwa Mwamba Mwenyewe Makonda.

Akiwa katika viwanja vya Rwanda nzovwe maarufu kama viwanja vya CCM aliwalipua Wana Mbeya kwa vicheko visivyokatika pale alipowaambia kuwa CHADEMA wameacha na kukimbia kabisa kufanya mikutano ya hadhara na sasa wameanza kulilia vyombo vya habari ili wafanyiwe mahojiano.akasema walitaka mikutano ya hadhara Mheshimiwa Rais akawaruhusu lakini Mwamba mwenyewe Makonda alipoingia mitaani CHADEMA wote wakatimua mbio kali sana kwenda kujificha, ambapo hadi sasa hawaonekani mitaani na sasa wanaanza kuvamia ofisi za watu wakililia kutaka kufanya mahojiano.

Ndugu zangu hata mimi niliona CHADEMA na Lissu wake ni kama watu ambao hawapo sawa kichwani na ni watu wasio jitambua kabisa.hivi unaanzia wapi kulazimisha kuhojiwa kwenye chombo binafsi? Kama mhusika kakupigia simu ukiwa kwako kwamba usije kwenye mahojiano mpaka wakati mwingine,sasa kwanini ulazimishe kwenda kuvamia ofisi za watu na kusimamisha shughuli za watu eti unataka uelezwe sababu za kufutwa kwa mahojiano yako? Kwani uliopitwa mara ya kwanza uliambiwa kwa nini unataka kufanyiwa mahojiano? Kwani ni lazima wewe kuhojiwa?

Je kile chombo cha habari ni mali ya CHADEMA? Kama siyo mali ya CHADEMA unataka kulazimisha ili iweje? Kwanini msifungue Tv yenu ndio muwe mnakwenda wakati wote kuhojiwa au muwe mnajirusha hata mnapokura chakula na familia zenu? Miaka yote mmepokea mamilioni kwa mamilioni ya pesa za Ruzuku kwanini mmeshindwa kuanzisha Tv au redio yenu? Hapa majuzi tu si mmetoka kutafuna zaidi ya Billion tatu kasoro kidogo tu pesa za Ruzuku? Je fedha hizo zilikuwa hazitoshi kuanzisha Tv mnazolilia Lilia kama watoto walio kliniki kutaka kuhojiwa?

Hivi Lissu na CHADEMA yake watakuwa lini na kukomaa kiakili? Halafu wafuasi wao walivyo mazuzu eti wanahangaika mitandaoni kulalamika kwanini Lissu hajahojiwa? Sasa kuhojiwa ni lazima? Je hakupewa taarifa kuwa kipindi kimefutwa? Hii yote ni kuonyesha CHADEMA hasa viongozi wake hawana kazi za aina yoyote ile wanazofanya za kuwapatia kipato zaidi ya kutegemea kupiga porojo ,Makele na uzushi midomoni pao,kwa sababu mtu mwenye kazi zake tulitegemea alipopewa taarifa tena kabla ya siku husika kufika basi angeendelea na kazi zake na shughuli zake kama kawaida na kufurahi kuwa kazi zake hazitasimama kwa siku hiyo.

Sasa kwa kuwa CHADEMA ni madalali wa kisiasa na wamefanya siasa kama sehemu ya kuneemesha matumbo yao na kuponya njaa zao ndio maana mtu anachukua gari na kufunga safari kwenda kuvamia ofisi za watu na kuanza kulilia eti anataka aambiwe sababu za kufutwa mahojiano .hivi huu siyo ujinga kweli? Siyo uwendawazimu huu? Siyo ugonjwa huu kweli? Siyo kujikatia tamaa huku kweli? Siyo kukosa kazi huku? Siyo kwamba hawa jamaa wamechanganyikiwa?

Mimi naona kuna namna mambo hayapo sawa katika vichwa vya CHADEMA,Lissu ameathirika kisaikolojia na anahitaji ushauri kumsaidia kupona .maana hili siyo jambo la kawaida hata kidogo.yaani chombo cha habari siyo chako,siyo mali yao,huna hisa wala wewe siyo mwana hisa,huchangia chochote katika chombo hicho,huwasaidia kulipa hata bili ya maji tu halafu unatoka huko mbio mbio eti nataka nielezwe kwanini hamtaki kunipa nafasi ya kufanya mahojiano na ninyi? Sasa ni lazima kufanya hivyo? Vipi kama wangeamua wakae kimya tu kama mabubu na kuweka headphone ili wasikilizage hata nyimbo za injili? Je angebaki anaongea pekee yake kama kichaa au mwendawazimu? Vipi kama maiki yake wangeiondoa sauti? Angesikika kwa nani zaidi ya kuonekana kama picha tu?

Kwanini CHADEMA wanakuwa na utoto kiasi hiki? Kwanini hawakui kiakili ? Kwanini hawakomai kifikira? Kwanini wanafanya mambo kama watoto wadogo? Kwanini wasifungue Tv zao? Ruzuku na michango kibao inakwenda wapi? Kama wanapenda sana sura zao kuonekana kwenye Tv kwanini wasifungue zaooooo? Ndio maana watanzania wanaendelea kuwapuuza sanaa CHADEMA. ila ukweli ni kuwa nje ya siasa viongozi wa CHADEMA hawana kazi zozote zile za kiuchumi wanazozifanya huku mitaani,hakuna kitu wanachozalisha kuchangia katika uchumi wetu wala kutoa hata ajira kwa vijana kumi tu.ndio maana kwa kukosa kwao kazi wanaanza kufunga safari kwenda kung'ang'ania kwenye ofisi za watu.

CHADEMA acheni kupenda vya dezo na mteremko ,kama mnapenda sana kuonekana katika Tv basi fungueni zenu na siyo kutafuna pesa zote halafu muanze kuleta usumbufu kwa watu waliofanya uwekezaji kwenye Tv na radio zao.acheni kuharibu biashara za watu,acheni kuvuruga shughuli za watu,acheni vurugu na utoto wenu.fanyeni vitu kama watu wazima na siyo kama watoto wadogo waliozibuka akili.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.

View attachment 2897538View attachment 2897539View attachment 2897540View attachment 2897541View attachment 2897543View attachment 2897544

CHAWA kazini ..... una muda kweli.
 
Umeandika mambo makubwa...
HAWEZI KUELEWA...
Hakuna mambo makubwa yoyote ile aliyoyaandika hapo.hakuna haki isiyo na wajibu. Wajibu ni pamoja na kusikiliza maelekezo na maelezo.sasa wewe umeelekezwa jambo halafu wewe unaanza kwenda kuvamia ofisi za watu kutaka uhojiwe. Kwani ni lazima? Kifungu kipi cha katiba kimevunjwa kwa yeye kupewa taarifa ya kuahirishwa kwa mahojiano? Kifungu kipi cha katiba kingekuwa kimevunjwa ikiwa asiingeitwa?
 
Utamuungaje mkono mtu anayesoma kitabu kwa kuangalia kava tu? Ndivyo ulivyofundishwa shuleni?
Shida yako ni kudhani wasomaji hawaelewi, unawaletea habari mpya na za kuvutia!!!
Usipotaja chadema huna habari...
Una sifu-huna habari za uchambuzi...
Mwisho namba ya simu.....
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda Mwamba na Jabali la siasa na kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara hapo jana aliitetemesha Mbeya kwelikweli,alilisimamisha jiji na kuteka mioyo ya wananchi , shughuli zote zilisimama na kubaki na shughuli moja tu ya kutega masikio kwa Mwamba Mwenyewe Makonda.

Akiwa katika viwanja vya Rwanda nzovwe maarufu kama viwanja vya CCM aliwalipua Wana Mbeya kwa vicheko visivyokatika pale alipowaambia kuwa CHADEMA wameacha na kukimbia kabisa kufanya mikutano ya hadhara na sasa wameanza kulilia vyombo vya habari ili wafanyiwe mahojiano.akasema walitaka mikutano ya hadhara Mheshimiwa Rais akawaruhusu lakini Mwamba mwenyewe Makonda alipoingia mitaani CHADEMA wote wakatimua mbio kali sana kwenda kujificha, ambapo hadi sasa hawaonekani mitaani na sasa wanaanza kuvamia ofisi za watu wakililia kutaka kufanya mahojiano.

Ndugu zangu hata mimi niliona CHADEMA na Lissu wake ni kama watu ambao hawapo sawa kichwani na ni watu wasio jitambua kabisa.hivi unaanzia wapi kulazimisha kuhojiwa kwenye chombo binafsi? Kama mhusika kakupigia simu ukiwa kwako kwamba usije kwenye mahojiano mpaka wakati mwingine,sasa kwanini ulazimishe kwenda kuvamia ofisi za watu na kusimamisha shughuli za watu eti unataka uelezwe sababu za kufutwa kwa mahojiano yako? Kwani uliopitwa mara ya kwanza uliambiwa kwa nini unataka kufanyiwa mahojiano? Kwani ni lazima wewe kuhojiwa?

Je kile chombo cha habari ni mali ya CHADEMA? Kama siyo mali ya CHADEMA unataka kulazimisha ili iweje? Kwanini msifungue Tv yenu ndio muwe mnakwenda wakati wote kuhojiwa au muwe mnajirusha hata mnapokura chakula na familia zenu? Miaka yote mmepokea mamilioni kwa mamilioni ya pesa za Ruzuku kwanini mmeshindwa kuanzisha Tv au redio yenu? Hapa majuzi tu si mmetoka kutafuna zaidi ya Billion tatu kasoro kidogo tu pesa za Ruzuku? Je fedha hizo zilikuwa hazitoshi kuanzisha Tv mnazolilia Lilia kama watoto walio kliniki kutaka kuhojiwa?

Hivi Lissu na CHADEMA yake watakuwa lini na kukomaa kiakili? Halafu wafuasi wao walivyo mazuzu eti wanahangaika mitandaoni kulalamika kwanini Lissu hajahojiwa? Sasa kuhojiwa ni lazima? Je hakupewa taarifa kuwa kipindi kimefutwa? Hii yote ni kuonyesha CHADEMA hasa viongozi wake hawana kazi za aina yoyote ile wanazofanya za kuwapatia kipato zaidi ya kutegemea kupiga porojo ,Makele na uzushi midomoni pao,kwa sababu mtu mwenye kazi zake tulitegemea alipopewa taarifa tena kabla ya siku husika kufika basi angeendelea na kazi zake na shughuli zake kama kawaida na kufurahi kuwa kazi zake hazitasimama kwa siku hiyo.

Sasa kwa kuwa CHADEMA ni madalali wa kisiasa na wamefanya siasa kama sehemu ya kuneemesha matumbo yao na kuponya njaa zao ndio maana mtu anachukua gari na kufunga safari kwenda kuvamia ofisi za watu na kuanza kulilia eti anataka aambiwe sababu za kufutwa mahojiano .hivi huu siyo ujinga kweli? Siyo uwendawazimu huu? Siyo ugonjwa huu kweli? Siyo kujikatia tamaa huku kweli? Siyo kukosa kazi huku? Siyo kwamba hawa jamaa wamechanganyikiwa?

Mimi naona kuna namna mambo hayapo sawa katika vichwa vya CHADEMA,Lissu ameathirika kisaikolojia na anahitaji ushauri kumsaidia kupona .maana hili siyo jambo la kawaida hata kidogo.yaani chombo cha habari siyo chako,siyo mali yao,huna hisa wala wewe siyo mwana hisa,huchangia chochote katika chombo hicho,huwasaidia kulipa hata bili ya maji tu halafu unatoka huko mbio mbio eti nataka nielezwe kwanini hamtaki kunipa nafasi ya kufanya mahojiano na ninyi? Sasa ni lazima kufanya hivyo? Vipi kama wangeamua wakae kimya tu kama mabubu na kuweka headphone ili wasikilizage hata nyimbo za injili? Je angebaki anaongea pekee yake kama kichaa au mwendawazimu? Vipi kama maiki yake wangeiondoa sauti? Angesikika kwa nani zaidi ya kuonekana kama picha tu?

Kwanini CHADEMA wanakuwa na utoto kiasi hiki? Kwanini hawakui kiakili ? Kwanini hawakomai kifikira? Kwanini wanafanya mambo kama watoto wadogo? Kwanini wasifungue Tv zao? Ruzuku na michango kibao inakwenda wapi? Kama wanapenda sana sura zao kuonekana kwenye Tv kwanini wasifungue zaooooo? Ndio maana watanzania wanaendelea kuwapuuza sanaa CHADEMA. ila ukweli ni kuwa nje ya siasa viongozi wa CHADEMA hawana kazi zozote zile za kiuchumi wanazozifanya huku mitaani,hakuna kitu wanachozalisha kuchangia katika uchumi wetu wala kutoa hata ajira kwa vijana kumi tu.ndio maana kwa kukosa kwao kazi wanaanza kufunga safari kwenda kung'ang'ania kwenye ofisi za watu.

CHADEMA acheni kupenda vya dezo na mteremko ,kama mnapenda sana kuonekana katika Tv basi fungueni zenu na siyo kutafuna pesa zote halafu muanze kuleta usumbufu kwa watu waliofanya uwekezaji kwenye Tv na radio zao.acheni kuharibu biashara za watu,acheni kuvuruga shughuli za watu,acheni vurugu na utoto wenu.fanyeni vitu kama watu wazima na siyo kama watoto wadogo waliozibuka akili.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.

View attachment 2897538View attachment 2897539View attachment 2897540View attachment 2897541View attachment 2897543View attachment 2897544
Angalau leo umeongea point kuliko siku zote
 
Acha uzuzu na unyumbu wako wewe. Kwani alipopewa taarifa ya kufanyiwa mahojiano alipewa sababu za kufanya hivyo? Si alikubalia kwenda kwenye kipindi bila kuhoji? Sasa ukipewa Taarifa mapema kuwa kipindi kimefutwa unaanzaje tena kuanza kulazimisha? Kwani ni lazima au ilikuwa ni lazima kufanya hivyo? Ni haki yake vipi.kwani kile ni chombo cha CHADEMA? Kwani kipo kwenye katiba kwamba lazima na ni haki yake aende kuhojiwa? Kwanini alazimshe? Ana mchango gani katika Tv ile? Anachangiaga kulipa kodi au mishahara au bili za maji au chochote kile? Kwanini mnafanya vitu vya kitoto kiasi hicho? Mbona mnakuwa wajinga kiasi hicho?

Hivi kwanini mtu ukiwa chawa mpaka akili zako nazo zinakuwa kama chawa mdudu?

Umesikia kauli ya serikali?

Unadhan ingekuwa hivyo unavyodhania ww serikali ingetoa majibu?
 
Kwani ukiitwa na kupewa taarifa katika chombo cha habari kufanyiwa mahojiano halafu baadaye siku moja kabla ukapewa taarifa kuwa bwana tunapenda kukutaarifu kuwa kipindi tulichotaka kufanya na wewe mahojiano na wewe tumeahirisha na kwamba tutakutafuta wakati mwingine tutakapoandaa .kuna sababu gani uanze kulazimisha kwenda kuvamia ofisi za watu na kuharibu ratiba za watu? Kwani ni lazima yeye kwenda kuhojiwa?

Niambie kuwa ni kifungu kipi cha katiba wangekuwa wamevunja kama wasingemwita Lissu kwenda kufanya mahojiano naye?

Niambie ni kifungu kipi cha katiba wamevunja kama walimwita kwenye mahot na baadaye wakampatia taarifa ya kuahirishwa kwa mahojiano? Acheni kulazimisha vitu.tumieni busara na weledi. Acheni kudanganyana na kupotoshana. Kila haki ina wajibu wake. Wajibu ni pamoja na kusikiliza maelekezo.sasa wewe unapewa maelekezo na maelezo halafu wewe unaanza makelele yako mitandaoni na kuvamia ofisi za watu utafikiri nyumbani kwako.

Fungueni Tv zenu kama mnataka kuonekana sana kwenye tv.si mmepewa mamilioni kwa mamilioni ya pesa kama Ruzuku?
Kwanza narudia Tena kukwambia hili nadhani ni mara ya Kumi kama sikosei na ni kila siku..

Mimi sio CDM ni CCM mwenye misimamo hai na halisi na ya kisheria Kama Marehemu Mwanangu Ole Mushi..

Kuitwa Kufanya Interview baadae kusitisha kwa kigezo cha kuwa "Tumepata Maelekezo kutoka Juu"
Wewe hakikutii shaka?

Kwanini Maelekezo ya kiahirisha Interview yatoke Juu..

Hili nimeshalizungumzia kwenye Post ya hapo Juu kuhusu Ubaguzi..

Kuahirisha Kufanya mahojiano yaliyopangwa kwa Wiki Nzima na kuahirishwa masaa machache ni uvunjifu wa Sheria ya Habari na uhariri...

Pia ni uvunjifu wa sheria ya Adhabu ya makosa ya Jinai (Penal code) yaani kujipatia Publicity kutumia mtu..

Watu wote Wapinzani na sisi CCM tulifungua wasafi kusikiliza kuwa Ataongea nini..
Ila tukaishia kuambia kuwa kuna maelezo kutoka juu..
Kasome sheria za Habari Tanzania, Kanuni za uhariri ..
Na sera ya Uhuru wa habari Tanzania
Vitakupa muongozo..
Hata hivyo zaidi kajikite kwenye Sheria ya Defamation utapata ABC kuwa walilofanya wasafi lilikuwa ni kosa la kisheria..

PIA NAKUSHAURI KASIKILIZE HOTUBA YA NAPE NAUYE (Waziri pendwa wa Habari kwa miaka yote)..
Kuhusu Sakata la Lissu na Wasafi jana..
Utapata Jibu
 
Kwanza narudia Tena kukwambia hili nadhani ni mara ya Kumi kama sikosei na ni kila siku..

Mimi sio CDM ni CCM mwenye misimamo hai na halisi na ya kisheria Kama Marehemu Mwanangu Ole Mushi..

Kuitwa Kufanya Interview baadae kusitisha kwa kigezo cha kuwa "Tumepata Maelekezo kutoka Juu"
Wewe hakikutii shaka?

Kwanini Maelekezo ya kiahirisha Interview yatoke Juu..

Hili nimeshalizungumzia kwenye Post ya hapo Juu kuhusu Ubaguzi..

Kuahirisha Kufanya mahojiano yaliyopangwa kwa Wiki Nzima na kuahirishwa masaa machache ni uvunjifu wa Sheria ya Habari na uhariri...

Pia ni uvunjifu wa sheria ya Adhabu ya makosa ya Jinai (Penal code) yaani kujipatia Publicity kutumia mtu..

Watu wote Wapinzani na sisi CCM tulifungua wasafi kusikiliza kuwa Ataongea nini..
Ila tukaishia kuambia kuwa kuna maelezo kutoka juu..
Kasome sheria za Habari Tanzania, Kanuni za uhariri ..
Na sera ya Uhuru wa habari Tanzania
Vitakupa muongozo..
Hata hivyo zaidi kajikite kwenye Sheria ya Defamation utapata ABC kuwa walilofanya wasafi lilikuwa ni kosa la kisheria..

PIA NAKUSHAURI KASIKILIZE HOTUBA YA NAPE NAUYE (Waziri pendwa wa Habari kwa miaka yote)..
Kuhusu Sakata la Lissu na Wasafi jana..
Utapata Jibu
Naona unasema kuwa kuna sheria imevunjwa. Basi kama kuna sheria imevunjwa mwambie au mshauri kiongozi wako huyo akafungue kesi.kikubwa nawashaurini ninyi CHADEMA mfungue Tv na redio zenu na siyo kila siku kulalamika tu kama watoto. Kwani nini kinawashinda kufungua Tv na redio zenu? Kwani ni shilingi ngapi mpaka mshindwe kufungua? Si hapa majuzi tu mmetafuna billion 2.7?
 
Hivi kwanini mtu ukiwa chawa mpaka akili zako nazo zinakuwa kama chawa mdudu?

Umesikia kauli ya serikali?

Unadhan ingekuwa hivyo unavyodhania ww serikali ingetoa majibu?
Acheni kulia lia ndugu zangu.fungueni Tv na redio yenu.kwani si mmepokea mamilioni kwa mamilioni ya Ruzuku? Hapa majuzi tu si mmebugia Billion 2.7? Mlishindwa nini kufungua Tv kwa miaka yote? Miaka yote si mmekuwa mnalialia tu? Kwanini hamjawahi kuchukua hatua za kufungua Tv zenu? Mtalialia mpaka lini? Mtang'ang'ania mpaka lini kwenye ofisi za watu ili mfanyiwe mahojiano?
 
Back
Top Bottom