Pre GE2025 Makonda hana jambo dogo, Ng'ombe zaidi ya 400 za chinjwa Arusha ni mwendo wa kula nyama choma bure

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vitu vya bure siyo vya kukimbilia!! Vingine vina ahadi za kuzimu. Isije ikawa ni ng'ombe wa majini!! Ukishakula unaweuka, unabakia bila akili, unakuwa kama mwashambwa.
Kabisa mkuu inawezekana
 
Dawa ya moto ni moto.

Ukiangalia video yao walivyo kutana na Gambo uso kwa uso Makonda mwenyewe anaangalia pembeni. Halafu Gambo kamkazia.

Pale ndio nilipojua kwanini Gambo ni sterling, ambae Lema mwenyewe ilibidi amgwaye wakati Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha.

Makonda anatumia kujipendekeza tu kwa viongozi, lakini kiuanaume amuwezi Gambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…