Pre GE2025 Makonda hana jambo dogo, Ng'ombe zaidi ya 400 za chinjwa Arusha ni mwendo wa kula nyama choma bure

Pre GE2025 Makonda hana jambo dogo, Ng'ombe zaidi ya 400 za chinjwa Arusha ni mwendo wa kula nyama choma bure

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Dawa ya moto ni moto.

Ukiangalia video yao walivyo kutana na Gambo uso kwa uso Makonda mwenyewe anaangalia pembeni. Halafu Gambo kamkazia.

Pale ndio nilipojua kwanini Gambo ni sterling, ambae Lema mwenyewe ilibidi amgwaye wakati Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha.

Makonda anatumia kujipendekeza tu kwa viongozi, lakini kiuanaume amuwezi Gambo.
 
Back
Top Bottom