Pre GE2025 Makonda hana jambo dogo, Ng'ombe zaidi ya 400 za chinjwa Arusha ni mwendo wa kula nyama choma bure

Pre GE2025 Makonda hana jambo dogo, Ng'ombe zaidi ya 400 za chinjwa Arusha ni mwendo wa kula nyama choma bure

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Rais na Serikali yake wameamua kucheza na akili za Watu wa Arusha kuelekea Uchaguzi Mkuu, yaani wameona nyama choma ndo mahitaji muhimu ya Wana Arusha, hakika inasikitisha


Vitu vya bure siyo vya kukimbilia!! Vingine vina ahadi za kuzimu. Isije ikawa ni ng'ombe wa majini!! Ukishakula unaweuka, unabakia bila akili, unakuwa kama mwashambwa.
 
Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.
Mbunge amealikwa?
 
Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kesho ambayo kitaifa yatafanyika mkoani Arusha, leo Ijumaa Machi 7, 2025 nyama choma italiwa bure.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.

Ng’ombe zaidi ya 400 pamoja na mifugo mingine imechinjwa na kuchomwa ili kumpa fursa kila Mwananchi atakayefika katika eneo hilo kufaidi huduma hiyo isiyo na malipo.

Pia, Soma
Makonda ku raise idadi hiyo ya ng’ombe kidogo sana kwake hata bila kutumia pesa yoyote ya serikali
 
Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kesho ambayo kitaifa yatafanyika mkoani Arusha, leo Ijumaa Machi 7, 2025 nyama choma italiwa bure.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.

Ng’ombe zaidi ya 400 pamoja na mifugo mingine imechinjwa na kuchomwa ili kumpa fursa kila Mwananchi atakayefika katika eneo hilo kufaidi huduma hiyo isiyo na malipo.

Pia, Soma
Msituharibie mfungo wetu!!
 
Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kesho ambayo kitaifa yatafanyika mkoani Arusha, leo Ijumaa Machi 7, 2025 nyama choma italiwa bure.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.

Ng’ombe zaidi ya 400 pamoja na mifugo mingine imechinjwa na kuchomwa ili kumpa fursa kila Mwananchi atakayefika katika eneo hilo kufaidi huduma hiyo isiyo na malipo.

Pia, Soma
Makafara tu hayo wote mtakaokula.mnaenda kupumbazwa akili
 
Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kesho ambayo kitaifa yatafanyika mkoani Arusha, leo Ijumaa Machi 7, 2025 nyama choma italiwa bure.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.

Ng’ombe zaidi ya 400 pamoja na mifugo mingine imechinjwa na kuchomwa ili kumpa fursa kila Mwananchi atakayefika katika eneo hilo kufaidi huduma hiyo isiyo na malipo.

Pia, Soma
Kick ya kuusaka ubunge tu!
 
Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kesho ambayo kitaifa yatafanyika mkoani Arusha, leo Ijumaa Machi 7, 2025 nyama choma italiwa bure.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.

Ng’ombe zaidi ya 400 pamoja na mifugo mingine imechinjwa na kuchomwa ili kumpa fursa kila Mwananchi atakayefika katika eneo hilo kufaidi huduma hiyo isiyo na malipo.

Pia, Soma
Acheni njaa na uzwazwa wa kushabikia dezo. Badala ya kula na kusherehekea, tunapaswa kuuliza na kujua namna alivyopata hiyo fedha. Na isitoshe, malipo yake ni nini?
 
Rais na Serikali yake wameamua kucheza na akili za Watu wa Arusha kuelekea Uchaguzi Mkuu, yaani wameona nyama choma ndo mahitaji muhimu ya Wana Arusha, hakika inasikitisha
DAB anataka, kwa udi na uvumba, kuwa mbunge wa Arusha. Anajua akipata ubunge na uwaziri ataupata. SASHA ana imani naye sana ndo maana zaidi ya 500 million zinatumika usiku wa leo.
Akae vizuri, yaliyomkuta kigamboni yasije kujirudia.
 
Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kesho ambayo kitaifa yatafanyika mkoani Arusha, leo Ijumaa Machi 7, 2025 nyama choma italiwa bure.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.

Ng’ombe zaidi ya 400 pamoja na mifugo mingine imechinjwa na kuchomwa ili kumpa fursa kila Mwananchi atakayefika katika eneo hilo kufaidi huduma hiyo isiyo na malipo.

Pia, Soma
Sio nyama ya ng'ombe ni nyama ya porini. Acha upotoshaji wa kijinga.
 
DAB anataka, kwa udi na uvumba, kuwa mbunge wa Arusha. Anajua akipata ubunge na uwaziri ataupata. SASHA ana imani naye sana ndo maana zaidi ya 500 million zinatumika usiku wa leo.
Akae vizuri, yaliyomkuta kigamboni yasije kujirudia.
Ndo maana akaweka hii event akiamini itampatia wafuasi wa kutosha
 
Back
Top Bottom