Makonda hatoboi. Kauli zake zinawaudhi "wenye nchi"

Makonda hatoboi. Kauli zake zinawaudhi "wenye nchi"

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kama unadhani wananhi wote tuna hadhi na haki sawa unajidanganya. Nchi hii Ina wenyewe na kila anayetaka kuwa kiongozi ni lazima akubalike na hawa watu.

Makonda katoa kauli zinazowakwaza na kuwachokonoa wenye nchi. Kauli kama "hata nishikiwe bastola sitamakana Magufuli", "kama umestaafu kaa kimya" Kuna watu wanajipendekeza kutaka waonekane wazuri".

Nimkumbushe tu Makonda kuwa Magufuli alipofariki kulitolewa kauli kadha wa kadha na kundi la wenye nchi. Mifano:-
*Nchi Sasa imepumua.
*Mungu kaamulia ugomvi.
*Ikulu ilikaliwa na shetani.
*Wema hawafi.
*Never and never again.

Je, Makonda ana ubavu wa kushindana na hawa watu?? Bila shaka hana uwezo huo. Hivyo Makonda hatoboi, soon atanyamaza ama atanyamazishwa.
 
Kama unadhani wananhi wote tuna hadhi na haki sawa unajidanganya. Nchi hii Ina wenyewe na kila anayetaka kuwa kiongozi ni lazima akubalike na hawa watu.

Makonda katoa kauli zinazowakwaza na kuwachokonoa wenye nchi. Kauli kama "hata nishikiwe bastola sitamakana Magufuli", "kama umestaafu kaa kimya" Kuna watu wanajipendekeza kutaka waonekane waziri".

Nimkumbushe tu Makonda kuwa Magufuli alipofariki kulitolewa kauli kadha wa kadha na kundi la wenye nchi. Mifano:-
*Nchi Sasa imepumua.
*Mungu kaamulia ugomvi.
*Ikulu ilikaliwa na shetani.
*Wema hawafi.
*Never and never again.

Je, Makonda ana ubavu wa kushindana na hawa watu?? Bila shaka hana uwezo huo. Hivyo Makonda hatoboi, soon atanyamaza ama atanyamazishwa.
We jidanganye tu

Bila ya turufu ya JPM hakuna kura japo hata zisipokuwepo uchaguzi tunashinda vile vile
 
Kama unadhani wananhi wote tuna hadhi na haki sawa unajidanganya. Nchi hii Ina wenyewe na kila anayetaka kuwa kiongozi ni lazima akubalike na hawa watu.

Makonda katoa kauli zinazowakwaza na kuwachokonoa wenye nchi. Kauli kama "hata nishikiwe bastola sitamakana Magufuli", "kama umestaafu kaa kimya" Kuna watu wanajipendekeza kutaka waonekane waziri".

Nimkumbushe tu Makonda kuwa Magufuli alipofariki kulitolewa kauli kadha wa kadha na kundi la wenye nchi. Mifano:-
*Nchi Sasa imepumua.
*Mungu kaamulia ugomvi.
*Ikulu ilikaliwa na shetani.
*Wema hawafi.
*Never and never again.

Je, Makonda ana ubavu wa kushindana na hawa watu?? Bila shaka hana uwezo huo. Hivyo Makonda hatoboi, soon atanyamaza ama atanyamazishwa.
utakufa wewe utamuacha Makonda
 
Makonda hatoboi, soon atanyamaza ama atanyamazishwa.
si rahisi kunyamaza/kunyamazishwa as long as Samia amemteua!
Hivi hizi picha huwa ni za kweli? au ni adobe photoshop
1699696386702.png
1699696405871.png
 
Ila makonda ni tatizo, mwenezi hayo sio majukumu yake, angeomba nafasi serikali ili atoe maagizo atakayo, mwenezi usemea chama mliyokubaliana kwenye vikao, sio kujifanya kama Magu kupigia mawaziri simu na kutoa maagizo, hata kama yapo kwenye ilani ya CCM, inataratibu za kutekeleza, mwenyewe hana hata aibu!
 
Ila makonda ni tatizo, mwenezi hayo sio majukumu yake, angeomba nafasi serikali ili atoe maagizo atakayo, mwenezi usemea chama mliyokubaliana kwenye vikao, sio kujifanya kama Magu kupigia mawaziri simu na kutoa maagizo, hata kama yapo kwenye ilani ya CCM, inataratibu za kutekeleza, mwenyewe hana hata aibu!
Huo ndo wajibu wake

Kueneza itikadi za chama chake na kukiuza kwa wananchi kwa kuhakikisha ilani ya chama inatekelezwa na Serikali
 
imepangwa hivyo, kwa nini unafikiri alipotea kwa muda mrefu ? alikuwa aende jela halafu nini kilitokea? alipotea akaja kuibuka kateuliwa unafikiri ni bahati mbaya tu? kama Ndugai kauli tu ilimtoa na alikuwa mkuu wa mhimili unaojitegemea Bunge ije kuwa makonda ambaye anateuliwa raisi samia?

makonda hana tofauti na simba na yanga, wote wanatumika to keep this regime going …
 
Kama unadhani wananhi wote tuna hadhi na haki sawa unajidanganya. Nchi hii Ina wenyewe na kila anayetaka kuwa kiongozi ni lazima akubalike na hawa watu.

Makonda katoa kauli zinazowakwaza na kuwachokonoa wenye nchi. Kauli kama "hata nishikiwe bastola sitamakana Magufuli", "kama umestaafu kaa kimya" Kuna watu wanajipendekeza kutaka waonekane wazuri".

Nimkumbushe tu Makonda kuwa Magufuli alipofariki kulitolewa kauli kadha wa kadha na kundi la wenye nchi. Mifano:-
*Nchi Sasa imepumua.
*Mungu kaamulia ugomvi.
*Ikulu ilikaliwa na shetani.
*Wema hawafi.
*Never and never again.

Je, Makonda ana ubavu wa kushindana na hawa watu?? Bila shaka hana uwezo huo. Hivyo Makonda hatoboi, soon atanyamaza ama atanyamazishwa.
Hao wote uliowasema ni binadaam wa nyama watakufa na nchi itasonga mbele na vizazi vingine na uzuri Mungu aliweka ukomo wa umri na siku wakifa jamii ktk historia za hapo mbeleni watachukuliwa moja wa viongozi waliokuwa wazalendo baadaye wakageuka kuwa wasaliti. Mfumo uliamua kuacha na kuwa kimya ili kuona nani yupo na taasisi ya urais! Kibaya watu wengi wajinga wakajitokeza hakika mfumo ulishawatambua wote kabisa tena ushahidi upo bayana. Je watatokaje???? Nchi hii haiendeshwi kwa mihemuko kauli za Makonda ndiyo kauli ya wenye nchi na sasa ndiyo wanasafisha njia 2025 ya Dkt Samia. Mnadhani tulivyokuwa tunalia kumlilia Dkt Magufuli tulilia bure?????? Lazima mliokejeli taasisi ya urais mkose ubunge, na hamtokuja kupata vyeo tena!
 
Kama unadhani wananhi wote tuna hadhi na haki sawa unajidanganya. Nchi hii Ina wenyewe na kila anayetaka kuwa kiongozi ni lazima akubalike na hawa watu.

Makonda katoa kauli zinazowakwaza na kuwachokonoa wenye nchi. Kauli kama "hata nishikiwe bastola sitamakana Magufuli", "kama umestaafu kaa kimya" Kuna watu wanajipendekeza kutaka waonekane wazuri".

Nimkumbushe tu Makonda kuwa Magufuli alipofariki kulitolewa kauli kadha wa kadha na kundi la wenye nchi. Mifano:-
*Nchi Sasa imepumua.
*Mungu kaamulia ugomvi.
*Ikulu ilikaliwa na shetani.
*Wema hawafi.
*Never and never again.

Je, Makonda ana ubavu wa kushindana na hawa watu?? Bila shaka hana uwezo huo. Hivyo Makonda hatoboi, soon atanyamaza ama atanyamazishwa.
Ni utabiri wako baada ya kushiba njugu mawe. Nchi haina wenye nchi Bali Ina wananchi. Kama kuna majinga yanadhani Yana nchi basi nature utaamua.
 
Kama unadhani wananhi wote tuna hadhi na haki sawa unajidanganya. Nchi hii Ina wenyewe na kila anayetaka kuwa kiongozi ni lazima akubalike na hawa watu.

Makonda katoa kauli zinazowakwaza na kuwachokonoa wenye nchi. Kauli kama "hata nishikiwe bastola sitamakana Magufuli", "kama umestaafu kaa kimya" Kuna watu wanajipendekeza kutaka waonekane wazuri".

Nimkumbushe tu Makonda kuwa Magufuli alipofariki kulitolewa kauli kadha wa kadha na kundi la wenye nchi. Mifano:-
*Nchi Sasa imepumua.
*Mungu kaamulia ugomvi.
*Ikulu ilikaliwa na shetani.
*Wema hawafi.
*Never and never again.

Je, Makonda ana ubavu wa kushindana na hawa watu?? Bila shaka hana uwezo huo. Hivyo Makonda hatoboi, soon atanyamaza ama atanyamazishwa.
Akinyamazishwa itapendeza zaidi
 
Kama unadhani wananhi wote tuna hadhi na haki sawa unajidanganya. Nchi hii Ina wenyewe na kila anayetaka kuwa kiongozi ni lazima akubalike na hawa watu.

Makonda katoa kauli zinazowakwaza na kuwachokonoa wenye nchi. Kauli kama "hata nishikiwe bastola sitamakana Magufuli", "kama umestaafu kaa kimya" Kuna watu wanajipendekeza kutaka waonekane wazuri".

Nimkumbushe tu Makonda kuwa Magufuli alipofariki kulitolewa kauli kadha wa kadha na kundi la wenye nchi. Mifano:-
*Nchi Sasa imepumua.
*Mungu kaamulia ugomvi.
*Ikulu ilikaliwa na shetani.
*Wema hawafi.
*Never and never again.

Je, Makonda ana ubavu wa kushindana na hawa watu?? Bila shaka hana uwezo huo. Hivyo Makonda hatoboi, soon atanyamaza ama atanyamazishwa.
Nalitarajia sana hilo soon or later. Ile overconfidence aliyonayo lazima imponze tu. He's too vocal na anakiuka hata mipaka ya mamlaka yake.
 
Kama unadhani wananhi wote tuna hadhi na haki sawa unajidanganya. Nchi hii Ina wenyewe na kila anayetaka kuwa kiongozi ni lazima akubalike na hawa watu.

Makonda katoa kauli zinazowakwaza na kuwachokonoa wenye nchi. Kauli kama "hata nishikiwe bastola sitamakana Magufuli", "kama umestaafu kaa kimya" Kuna watu wanajipendekeza kutaka waonekane wazuri".

Nimkumbushe tu Makonda kuwa Magufuli alipofariki kulitolewa kauli kadha wa kadha na kundi la wenye nchi. Mifano:-
*Nchi Sasa imepumua.
*Mungu kaamulia ugomvi.
*Ikulu ilikaliwa na shetani.
*Wema hawafi.
*Never and never again.

Je, Makonda ana ubavu wa kushindana na hawa watu?? Bila shaka hana uwezo huo. Hivyo Makonda hatoboi, soon atanyamaza ama atanyamazishwa.
Wamekutuma?

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Dar Kila mtu ni mchambaji tu awe mwanaume au mwanamke yaan hamna kupigana ngumi ni mwendo wa michambo vidole juu
 
Ila makonda ni tatizo, mwenezi hayo sio majukumu yake, angeomba nafasi serikali ili atoe maagizo atakayo, mwenezi usemea chama mliyokubaliana kwenye vikao, sio kujifanya kama Magu kupigia mawaziri simu na kutoa maagizo, hata kama yapo kwenye ilani ya CCM, inataratibu za kutekeleza, mwenyewe hana hata aibu!
Labda wenye chama ndio wameamua kwenda mwendo huo.
 
Back
Top Bottom