Makonda jiuzulu ulinde heshima yako

Mbele ya njaa hawezi jiuzulu am sure. Wanajizulu huko mambele watu wamexaliwa wakakuta baby ana hela hajazimaliza. Kidogo lowasa alikuwa tajiri alijizulu na rostam aliachana na siasa uchwara za kimasikini
Kwa huu mfumo wa kijinga hawezi kujihuzulu sababu anakula keki vizuri sn
 
Njaa haitajali alilind aheshima kajiuzulu itampiga tu. Wanaomtegemea nao wataishije kama akijiuzulu? Kwa kifupi ungekuwa ni wewe ungeacha kazi kisa boss wako hasikilizi ushauri wako?
 
ccM inataka wakurugenzi 'wauaji' hasas hasa kipindi hiki cha uchaguzi...there is no political solution kwa hawa jamaa, endeleeni kujidanganya kwa kupanga foleni kwenye masanduku ya kura
 
Stuka said:
Makonda jiuzulu ulinde heshima yako
Una wazimu, Makonda ana heshima gani ya kulinda?
Mpuuzi sana, Makonda na heshima ni kama maji na mafuta!
 
Kuna watu wamemkaanga Mama.Akifuta jina linaibuka.
 
Yaani aachie ugali na ile machine ya Mjapani bado mpya,thubutu!
 
Huyu mwamba ndo alikuwa muuaji. Hana lol
 
Sasa analinda heshima ipi🤷🤷🤷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…