Makonda kuwa mtu wa dini zote na madhehebu yote asivimbe kichwa.

Makonda kuwa mtu wa dini zote na madhehebu yote asivimbe kichwa.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huyu bwana inaonekana kuweza kujenga ushawishi kwa viongozi wa dini zote hapa nchini, kukubalika katika dini zote na kupewa heshima ya kipekee na dini zote hapa nchini sasa kumempa kiburi.

Hadhi aliyoipata kanisa Katoliki asiichukulie poa/"for granted". Wakatoliki huwa hawapendi mtu awe mkubwa kuliko taasisi yao, wanaweza kumshusha kwa matamshi yake ya hivi karibuni akiwa na Mwamposa ambayo yanaonekana yalililenga kanisa Katoliki moja kwa moja.

20240922_100414.jpg
 
Na wewe hujazuwiwa na mtu, uchaguzi ni wako

Sjui ni mimi tu, kujadili Imani ya mtu huwa naona ni ujinga tupu, kwa sababu hata anayemjadiri mwenziye, na yeye amejaa uchafu kibao


Tena nyinyi maccm mna rangi zote za dhambi
 
Na wewe hujazuwiwa na mtu, uchaguzi ni wako

Sjui ni mimi tu, kujadili Imani ya mtu huwa naona ni ujinga tupu, kwa sababu hata anayemjadiri mwenziye, na yeye amejaa uchafu kibao


Tena nyinyi maccm mna rangi zote za dhambi
 
Ila Makonda mdomoni Yuko vizuri linapokuja swala la kuchangia mistari ya Biblia
 
Back
Top Bottom