UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Mkuu, hivi protokali ikoje; kukiwa na tatizo la usalama huko mpakani wananchi wanapaswa kumweleza nani?Kwa hiyo ipo siku tutashuhudia General wa kikosi mojawapo mpakani akihojiwa na Mwenezi kuhusu hali ya usalama mpakani??
KM wake atapwaya si muda mrefuTutafakari kidogo, Je mwenezi wa Chadema, CUF, TLP na vyama vingine navyo vikiamua kuwahoji Watumishi hadharani, tutakuwa na utaratibu wa aina gani?
Serikalini kuna taratibu zilizo wazi za kupeleka malalamiko na mamlaka za kinidhamu zipo kutenda haki ikiwemo Kukata Rufaa.
Kweli anakosea sana:Paul Makonda ni Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi. Bila kuathiri Muundo wa Utumishi Serikalini, yeye Makonda ni Kiongozi wa Chama Cha Siasa Kama ilivyo kwa Chadema, TLP na CUF. Kwa hiyo chain of Command ya Utendaji wa Serikali haimtambui Mwenezi wa Chama Cha Siasa kuwa ni Reporting Unit kwenye Chain of Commnd ya Serikali.
Kitendo cha kuwasimamisha hadharani watumishi wa Serikali na kuwahoji Kisha kutoa maelekezo na hukumu ni Kinyume cha sheria kanuni taratibu za Utumishi na utawala bora.
Tutafakari kidogo, Je mwenezi wa Chadema, CUF, TLP na vyama vingine navyo vikiamua kuwahoji Watumishi hadharani, tutakuwa na utaratibu wa aina gani?
Serikalini kuna taratibu zilizo wazi za kupeleka malalamiko na mamlaka za kinidhamu zipo kutenda haki ikiwemo Kukata Rufaa.
Hizi Drama za Makonda kwa Watumishi zina lengo lipi. Kumbuka hata watumishi wa Serikali nao ni watu na wana haki sawa ya kuheshimiwa na wajibu wa kutenda haki
Labda katibu mwenezi wa kataMkuu, hivi protokali ikoje; kukiwa na tatizo la usalama huko mpakani wananchi wanapaswa kumweleza nani?
Huelewi mipaka ya viongozi wa chama na utendaji katika utumishi wa umma?. JPM alilikoroga na watu wenye uelewa mdogo wakacopy.CCM=Serikali, na kila mtumishi anawajibika kwa CCM.
Huelewi mipaka ya viongozi wa chama na utendaji katika utumishi wa umma?. JPM alilikoroga na watu wenye uelewa mdogo wakacopy.
CCM=Serikali, na kila mtumishi anawajibika kwa CCM.
Ni kweli, kwa umati uliojitokeza Kahama kuja kumlaki, Mwenezi Paul Makonda, mimi mpaka nimeogopa!, amepokelewa kama ile siku Masiha alivyopokelewa anaingia Jerusalem, halafu siku chache baadaye ndio ilawa vile!.
P
Hakuna sheria yoyote anayoijua Makonda, na hata mipaka ya kazi yake kama mwenezi sina hakika kama anaijuwa. Sidhani kama itatokea siku yoyote kiongozi wa serikali au mtendaji awajibishwe kwasababu ya drama na kiki zake zinazoendelea. Alifanikiwa kuwachomea wenzie kipindi cha JPM akiwemo yule Meya wa jiji la dsm, kwa Samia haitajirudia.Tatizo la kutoelewa sheria kanuni na taratibu kazini zinapelekea mkanganyiko mkubwa. Inawezekana hata Makonda mwenyewe hajui nini anapaswa kufanya kama mwenezi wa chama. Anadhani na yeye ni kiongozi Serikalini. Kuna siku atamhoji mpaka Mkuu wa Serikali ambaye ni Mwenyekiti pia
Mkurugenzi Pangani kaisha liwa kichwa,kupitia hizi ziara unazoziita drama,acha chuki zako mwache kijana Makonda hapigie kazi.Hakuna sheria yoyote anayoijua Makonda, na hata mipaka ya kazi yake kama mwenezi sina hakika kama anaijuwa. Sidhani kama itatokea siku yoyote kiongozi wa serikali au mtendaji awajibishwe kwasababu ya drama na kiki zake zinazoendelea. Alifanikiwa kuwachomea wenzie kipindi cha JPM akiwemo yule Meya wa jiji la dsm, kwa Samia haitajirudia.
Huyo wa Pangani alikuwa na makando kando yake binafsi, Makonda kapandia hapohapo.Mkurugenzi Pangani kaisha liwa kichwa,kupitia hizi ziara unazoziita drama,acha chuki zako mwache kijana Makonda hapigie kazi.
Huyo wa Pangani alikuwa na makando kando yake binafsi, Makonda kapandia hapoh
Sasa hapo unasema nini kama sikuwa na chuki tu Makonda?Umesema hakuna mtendaji anayeweza kuwajibishwa kutokana na drama hizi za Makonda,nikakuambia kuna mkurugenzi Pangani kaisha liwa kichwa,unasema huyo alikuwa na makandokando,hata kama alikuwa na hayo makandokando aliwajibishwa na kupitia hizi ziara unazoziita drama.Huyo wa Pangani alikuwa na makando kando yake binafsi, Makonda kapandia hapohapo.
Inashangaza, hata Katibu Mkuu Kiongozi hajawahi kufanya hivyo; wala Makatibu Wakuu wa Wizara hawajawahi kufanya hivyo. Eti Wakuu wa Mikoa, Ma-RPC, Ma-RAS, Ma-DAS na Wakurugenzi, wote 'wameufyata' kwa kijamaa kidogo kwa kivuli cha uenezi. Nilitamani kuona Makonda akieneza itikadi za chama chake, maana wengi hatuelewi CCM ni chama cha mlengo gani. Na pengine atoe mafunzo ili kuongeza wanachama; sasa anafanya kazi za kudozoa na kusogoa bila hata kupata suluhu, na wananchi tumeingia mkenge tukidhani ni malaika kashushwa na roho ya mwendazake. Acha wajinga tuliwe, na baada ya uchaguzi watutafune!Paul Makonda ni Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi. Bila kuathiri Muundo wa Utumishi Serikalini, yeye Makonda ni Kiongozi wa Chama Cha Siasa Kama ilivyo kwa Chadema, TLP na CUF. Kwa hiyo chain of Command ya Utendaji wa Serikali haimtambui Mwenezi wa Chama Cha Siasa kuwa ni Reporting Unit kwenye Chain of Commnd ya Serikali.
Kitendo cha kuwasimamisha hadharani watumishi wa Serikali na kuwahoji Kisha kutoa maelekezo na hukumu ni Kinyume cha sheria kanuni taratibu za Utumishi na utawala bora.
Tutafakari kidogo, Je mwenezi wa Chadema, CUF, TLP na vyama vingine navyo vikiamua kuwahoji Watumishi hadharani, tutakuwa na utaratibu wa aina gani?
Serikalini kuna taratibu zilizo wazi za kupeleka malalamiko na mamlaka za kinidhamu zipo kutenda haki ikiwemo Kukata Rufaa.
Hizi Drama za Makonda kwa Watumishi zina lengo lipi. Kumbuka hata watumishi wa Serikali nao ni watu na wana haki sawa ya kuheshimiwa na wajibu wa kutenda haki