Makonda na mind games: Ukubali usikubali, Rais Samia anasahihisha madudu ya Hayati Magufuli!

Hata kama katumwa , kwani kuna mtu anaweza kuhodhi ukweli kuwa Magufuli alikuwa dikteta ambaye kwa vitendo vyake kuna watu walipoteza maisha?
Ukweli huo hsutofutika.
Hata china isingefika ilipo leo bila sheria kali za mafisadi
Wakigundua wewe ni fisadi unatangulizwa mbiguni ukapumzike
Ndio maana China imefika ilipo tatizo Africa tunabembelezana sana
Na hata Magufuli alikuwa mpole mbona
Mfano ningekuwa mimi ndio Rais
Fisadi, wanaotukwamisha kufikia mafanikio ningewauwa hadharani kwa kuwanyonga hadi hao vyeti feki waliopata ajira za mchongo piga risasi kudadeki mbona nchi itanyooka kama Rula.
 
Tetesi ndo nini? Kama ushahidi unao nenda Mahakamani acha kubwabwaja! Said kubenea alisema kama unataka kujua Ben Saanane alipo muulize Mbowe! Hata Dr Slaa alisema mnatabia ya kutekana ili kusingizia serkali!
Good!
Niliandika kuwa ni tetesi kwa makusudi, sasa wewe tetesi ulizoandika kumhusisha mama na Awamu ua Sita lete ushahidi vile vile, otherwise ni upotolo na mazungumzo ya kijiweni.
 
Good!
Niliandika kuwa ni tetesi kwa makusudi, sasa wewe tetesi ulizoandika kumhusisha mama na Awamu ua Sita lete ushahidi vile vile, otherwise ni upotolo na mazungumzo ya kijiweni.
Wewe ndezi acha makelele tulia Mama nae atamaliza mda wake! Usiwe na hasira sana maisha hayako hivo!
 
Jifunzeni kujadili mawazo,hoja,watu au vitu vya maana msilete mijadala isiyo na tija humu basi
 
Tatizo lako unafikiri umasikini wako unatokana na mtu mwingine , badala ya wewe mwenyewe kujisghulisha upate mradi wako.
 
Wale wafanya biashara wa Singida waliopotea kawapoteza Samia sio? Wale wanaodaiwa kupotea saizi nani anawapoteza? Kwa vile walipotea kipindi cha Magufuli mnasema kawapoteza Magufuli ila waliopotea kipindi hiki cha Samia mnasema Samia hahusiki!
covid 19 na Bunge
 
Mama ndie aliyemtangaza Mbowe kama gaidi. Mbona mpaka sasa watu wanapotea!
 
Tatizo lako unafikiri umasikini wako unatokana na mtu mwingine , badala ya wewe mwenyewe kujisghulisha upate mradi wako.
Nani kakwambia mimi masikini?? Au kuna mahala nimeandika mimi masikini
Taira wewe
Ulivyokuwa mjinga umeshindwa hata kuelewa nilichomaanisha
 
Na anayochafua yeye tutam-challenge lini ? Sababu muda unakwenda na hii ya kufatuta wa kulaumu wakati madudu yanaendelea kuzalishwa daily ni matumizi mabovu ya rasilimali muda....;

By the way kipindi ya hayo machafu yanatokea alikuwa wapi (kwahio kama tunampa credit by association ya mazuri yote basi mabaya ni ya kwake pia)
 
Nani kakwambia mimi masikini?? Au kuna mahala nimeandika mimi masikini
Taira wewe
Ulivyokuwa mjinga umeshindwa hata kuelewa nilichomaanisha
Basi una mawazo ya kimasikini!
 
Hakuna kitu umeandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…