Makonda na mind games: Ukubali usikubali, Rais Samia anasahihisha madudu ya Hayati Magufuli!

Naamini anajutia sana.Halafu bahati Mbaya Comrade Paul anasahau kuwa hao anaowanga kuwa ni wanafiki na wanajipendekeza kwa Mama walio wengi ni mabosi zake(WaNEC) maana ndio waliomthibitisha awe Katibu wa Uenezi hata kama ni kwa shingo upande.Kuna siku watambadilikia ndani ya vikao vyao na kumfukukuza kazi.Apunguze chuki dhidi yao!!
Samia atavuna alichopanda kwa kuteua Mamluki mwenye kashfa , unachagua mtu mchafu ili uwawin Wasukuma , ni msukuma yupi wa kushawishika na Makonda ?

kazi mnayo
 
Mtu akishaitwa mpumbavu ni shida, atakata tawi alilokalia!
 
Sasa tushike lipi? Chama kimoja makada wanapishana kauli.

Weka itikadi za chama pembeni kuwa mfuasi wa Rais
 
Katika nafasi ya punda wa kubeba mzigo, Mgufuli aliweza nafasi hiyo, lakini ukuu wa nchi, NO!.
Aaaah mkuu,
Kwani hakuwa rais!!
Acha dharau basi,
Hadi amemaliza miaka mitano
Na akagombea Tena, Bado waesma hakuweza.....!!
 
Ongelea yaliyopo na waliopo hai.
Kama una ugomvi na Marehemu tafadhali chapa mwendo mpaka chato lilipo kaburi lake na umfukuwe mmalizane.
Mimi sichangii upumbavu!
Ebho!
 
Ongelea yaliyopo na waliopo hai.
Kama una ugomvi na Marehemu tafadhali chapa mwendo mpaka chato lilipo kaburi lake na umfukuwe mmalizane.
Mimi sichangii upumbavu!
Ebho!
Mnaochokonoa mambo si ni nyie? Mnalazimisha wafu watajwe 😆😆
 
Aliyemfungulia kesi ya ugaidi Mbowe ni JPM (Dikteta-Mwamuzi) au SSH (Demokrasia-Kuendeshwa)?

Dikteta anafanya maamuzi lakini mmdemokrasia anaendeshwa watakavyo mabwanyenye
 
Mbona kitu kiko Wazi?
 
@
Paul Makonda mwite Kwa jina lake halisi ALBERT DAUDI BASHITE, huyu ndiye aliyemfanya Magufili kuwa mtu wa madudu ya kutisha, iweje Leo mama amuanini kwamba anaweza kuyasafisha madudu aliyoyatengeneza mwenyewe?
 
Wewe huna akili, tulia
 
Kweli pesa imepotea, matumaini yangu kipato kitaongezeka, ajira zimeonhezekap, wawekezaji wanarudi, hali ya hofu haipo tena.
Matumaini ya kipato kuongezeka wakati pesa imepotea? We jamaa mpuuzi sana. Nyie chawa muwe mnashughulisha akili zenu angalau kidogo.
 
Aaaah mkuu,
Kwani hakuwa rais!!
Acha dharau basi,
Hadi amemaliza miaka mitano
Na akagombea Tena, Bado waesma hakuweza.....!!
Mkuu au hukuwepo nchini?
Nchi ilikuwa inaelekea shimoni kwa kasi ya SGR!
 
Matumaini ya kipato kuongezeka wakati pesa imepotea? We jamaa mpuuzi sana. Nyie chawa muwe mnashughulisha akili zenu angalau kidogo.
Tatizo kubwa ni kujifikiria kwa zile pesa zilizoko mfukoni kwako, kiuchumi si lazima iwe hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…