Makonda na Sabaya wakati ni sasa wa kuhamia CHADEMA

Makonda na Sabaya wakati ni sasa wa kuhamia CHADEMA

Akabi kemanya

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2021
Posts
226
Reaction score
346
Kama bandiko linavyojieleza, leo hii kwakuwa Mahakama imemuachia huru Sabaya

Bila shaka sasa ni muda muafaka wa kufanya maamuzi ya kurudi kwenye jukwaa la siasa yeye Sabaya na Makonda

Na hili kuidhihirishia jamii kuwa wao kama vijana waliingia kwenye mitego ya kisiasa bila kujua madhara yake, ni vema sasa wakalejea kwenye siasa

Naamini wanayo haki ya kuchagua na kuchaguliwa pia wana nafasi ya kuendelea kulitumikia taifa lao bila shaka wanaweza kuwa viongozi makini kutokana na waliyoyapitia

Naamini jukwaa sahihi kwao la kuwasogeza tena kwenye siasa za ushindani ni CHADEMA
 
Ngoja kwanza wale wazee watatu waondoke , wale vijana wao ni weupe sana , sa hv wakianza watawafanyia umafia
IMG_20230405_182544.jpg
 
Tunataka watu kweli kweli,ila sio hata wale watakao lihujumu taifa kwa manufaa yao na wale walioamua kuwatumikia kwa manufaa yao binafsi na sio kwa manufaa ya taifa na wananchi wa Tanzania 🤔
 
Kama bandiko linavyo jieleza, leo hii kwakuwa mahakama imemuachia huru sabaya

Bilashaka sasa ni muda muafaka wa kufanya maamuzi ya kuludi kwenye jukwaa la siasa yeye sabaya na makonda

Nahili kuidhihilishia jamii kuwa wao kama vijana waliingia kwenye mitego ya kisiasa bila kujuwa madhara yake, nive sasa wakalejea kwenye siasa

Naamini wanayo haki ya kuchagua na kuchaguliwa pia wana nafasi ya kuendelea kulitumikia taifa lao bilashaka wanaweza kuwa viongozi makini kutokana na waliyo yapitia

Naamini jukwaa sahihi kwao la kuwasogeza tena kwenye siasa za ushindani ni chadema

Kwani chadema ni chama cha upinzani🤣
 
Kama bandiko linavyo jieleza, leo hii kwakuwa mahakama imemuachia huru sabaya

Bilashaka sasa ni muda muafaka wa kufanya maamuzi ya kuludi kwenye jukwaa la siasa yeye sabaya na makonda

Nahili kuidhihilishia jamii kuwa wao kama vijana waliingia kwenye mitego ya kisiasa bila kujuwa madhara yake, nive sasa wakalejea kwenye siasa

Naamini wanayo haki ya kuchagua na kuchaguliwa pia wana nafasi ya kuendelea kulitumikia taifa lao bilashaka wanaweza kuwa viongozi makini kutokana na waliyo yapitia

Naamini jukwaa sahihi kwao la kuwasogeza tena kwenye siasa za ushindani ni chadema
hujui kuandika wala unachoandika...pole
 
Kama bandiko linavyo jieleza, leo hii kwakuwa mahakama imemuachia huru sabaya

Bilashaka sasa ni muda muafaka wa kufanya maamuzi ya kuludi kwenye jukwaa la siasa yeye sabaya na makonda

Nahili kuidhihilishia jamii kuwa wao kama vijana waliingia kwenye mitego ya kisiasa bila kujuwa madhara yake, nive sasa wakalejea kwenye siasa

Naamini wanayo haki ya kuchagua na kuchaguliwa pia wana nafasi ya kuendelea kulitumikia taifa lao bilashaka wanaweza kuwa viongozi makini kutokana na waliyo yapitia

Naamini jukwaa sahihi kwao la kuwasogeza tena kwenye siasa za ushindani ni chadema
Hawa watu ni takataka za kisiasa nashauri zichomwe moto na kamwe Chadema msiokote taka hizi!
 
Back
Top Bottom