Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Unamfahamu peter pan ?Le mutuz hata ujana bado sana, bado ana mambo mengi sana ya utoto.
Sijui amegoma kukua kiakili?
Teh teh teh nimecheka sanaView attachment 840985
Kwani huyu dogo keshafikisha umri wa kuoa ?
Duh!!!View attachment 840985
Kwani huyu dogo keshafikisha umri wa kuoa ?
Ha ww ni mji.nga wamekwambia hela za kuolea wanachukua hazina???Sisi tunawaza hela ya kula japo mlo mmoja wao wanawaza harusi za kifahari tena kiongozi wa serikali huyu hana huruma na kodi zetu
Kisa hujala basi kiongozi wa serikalini asisimamie harusi za wapendwa wake!?... Halipwi mshahara?.Sisi tunawaza hela ya kula japo mlo mmoja wao wanawaza harusi za kifahari tena kiongozi wa serikali huyu hana huruma na kodi zetu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda Steve Nyerere awe kalazwa Apollo!
Swala la usimamizi wa harusi si la kila mtu ara!
Aiseee,na ajiandae kumsafisha mapumb...uAjiandae kisaikolojia Pia kuishi Na 'kufuniko cha peni'
Hapo ndo ukisikia kulogana ndo hiyoLabda Steve Nyerere awe kalazwa Apollo!
Swala la usimamizi wa harusi si la kila mtu ara!
kwani amekwambia atatumia pesa ya serikali?Sisi tunawaza hela ya kula japo mlo mmoja wao wanawaza harusi za kifahari tena kiongozi wa serikali huyu hana huruma na kodi zetu
Sasa kodi yako ina mausiano gani hapoSisi tunawaza hela ya kula japo mlo mmoja wao wanawaza harusi za kifahari tena kiongozi wa serikali huyu hana huruma na kodi zetu
Kumbe ni msela mwenzetu asee na kile chama chetuIna maana Benjamin Samwel Sitta mpaka Leo hajaoa?
Kweli kuoa Ni majaaliwa Sio and dudu wala pesa
Hivi anaoa au wanamuoleaBabu le mutuz anaoa???huyo mke mtarajiwa ajiandae ajue kuwa mume wake bado kuna mambo ya ujana hajayapitia
Weka picha mkuu wengine hatujaelewaAjiandae kisaikolojia Pia kuishi Na 'kufuniko cha peni'
Mtu asiyeoa hapaswi hata kuwa kiongoziIna maana Benjamin Samwel Sitta mpaka Leo hajaoa?
Kweli kuoa Ni majaaliwa Sio and dudu wala pesa
Ni arusi, sio msiba.Labda Steve Nyerere awe kalazwa Apollo!
Swala la usimamizi wa harusi si la kila mtu ara!