Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
ndo lengo la waliomweka palePolitical propaganda!
Kabisa.Kwa sasa mama hana mpinzani walah.
MAKONDA ANAKATA FUNUA MKOA WA MWANZA,,ππ RAIS SAMIA NI DADA YETU, WATU WA KANDA YA ZIWA - MWENEZI MAKONDA
"Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ni dada wa kanda ya Ziwa. Tuna wajibu wa kumuombea, kumlinda na kumtetea kwa sababu kaka yetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ndiye aliyetutambulisha na kutuambia 'huyu ndiye dada yangu'. Asingelikuwa Magufuli, Samia tusingelimfahamu."
Ndugu Paul Makonda, Viwanja vya Ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.
Mkutano wa Hadhara wa Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo, 12 Novemba 2023.
#CCMImara
#kaziiendelee
Kwa maneno mengine wametegeka Kwa pumbaπ€£π€£π€£ndo lengo la waliomweka pale
tangu lini wewe ukamtetea Magufuli tuachie dada yetu mheshimiwa Dk Samia Suluhu HassanMakonda aache kutiongopea sisi wa Kanda ya ziwa. Samia alimkana Magufuli kwa vitendo mara tu baada ya kifo chake.
* Aliruhusu chanjo ya korona.
*Aliwaachia wafanyabiashara akina mzee Rugemalira na Habinder Seth waliokuwa wanateswa na jiwe.
*Aliwaondoa wateule watiifu wa jiwe serikalini.
* Akaifungua nchi na kukaribisha wawekezaji wakati jiwe alikuwa anaifunga nchi na kuwaita wazungu "mabeberu".
*Alindoa marufuku batili ya mikutano ya vyama vya siasa iliyowekwa na jiwe.
* Na mengine mengi.