Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amesema Maandalizi ya kumpokea Rais Dkt Samia Suluhu Hassan yamekamilika na kueleza kuwa Rais Samia ni Mwanamke wa Mfano duniani hivyo wao kama Mkoa wanajivunia Rais Samia.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sherehe za Siku ya Wanawake Kitaifa zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi jijini Arusha ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sherehe za Siku ya Wanawake Kitaifa zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi jijini Arusha ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.