Makonda sasa utujibu kuhusu sakata la Roma Mkatoliki

Upinzani mmeshindwa kujitambua!

Chadema pia hamna sera zaidi ya kuendekeza visasi na majungu.

Waliposema siasa za mikutano ya hadhara,hawakusema kwenda kutungia watu tuhuma.

Kama mbazo tuhuma dhidi ya mtu yeyote,mahali pa kuzipeleka ni mahakamani.

Kuendelea kuchikonoa maisha ya watu,ni kuonyesha jinsi mlivyo wapuuzi.

Kubenea alikwenda mahakamani na kumshitak8 Makonda huyuhyu.
Je!alikosa ushahidi?

Muiteni Lissu na Lema,waje kufanya siasa,mtaji wao wa kuishi kwa kudanganya uongo wa kutishiwa maisha ulikwisha Expire.

Sasa mmepewa ruksa ya mikutano bado mnatafuta chokochoko zingine!

Aliyewaweka kijiweni for six good years alikwisha kufa.

Sasa mmejaa sumu na kila mmoja!

Hamuoni baadhi ya mliowachukia wakirudi kwenye ulingi kwa nguvu mpya kabisa.

Hii ni dalili ya kuwafanya muelewe kuna kwenda mbele kisiasa na pia kuna kurudi nyuma kimaisha.
 
ACHA KUFUKUA MAKABURI MKUU MAISHA YENYEWE MAGUMU
Maisha magumu kwa wote lakini haifai kuwaumiza wengine ili wewe uneemeke !! Hiyo haikubaliki na malipo ni hapa hapa !! Karma !!
 
Hebu mawazo na maneno yako haya kamtafute mke wa Azory useme mbele yake kama hata kuzabua Kofi au nenda kule Rombo kwa kina Saanane katamke kama hawajakugawana.
Njia pekee ya kupata suluhisho na msamaha ni kuweka wazi maovu yote na kutubu.
Ujanja wa kujifichia ndani ya propaganda eti hiyo ni siasa wakati ni uhalifu haita wasaidia.
Kama wewe ndio Bashite au mtu wake wa karibu basi fanyia kazi ushauri, hii ngoma bado mbichi sana

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwani hao watu walikufa leo?
Na nyinyi tukiwataka sasa mtueleze kilichomtokea Chacha Wangwe mko tayari?

Muulize Mbowe alivyookolewa na polisi toka Tarime!

Je!
Unadhani wamesahau?

Kama mnajiridhisga kwamba kuna mtu mnae ushahidi kumhusisha na haya Matukio!

Kwa nini msi-Frame ushahidi wenu na kuupeleka hata kwenye Taasisi za kimataifa?

Badala yake mnakaa mnaimba wimbo wa Azory,Saanane,Mawazo nk!

Mpaka lini?
Wangapi wameifia siasa Afrika?

Mifano kwa uchache tu!

Anzia kina
Steve Biko -S,Africa.
Chris Hani-S,Africa.
Patrice Lumumba -Zaire.
Askofu Janan Luwum -Uganda.
Robert Ouko-Kenya.
Thom Mboya-Kenya.
Christopher Mtikila-Tanzania.
Chacha Wangwe-Tanzania.

Hata Mandela (R.I.P)
Pamoja na kuteswa,alipoondolewa jela na kushika urais,hakuanza kulipiza visasi.

Sasa nyinyi mpaka sasa,Mfano kina Lissu na Lema,wakiul8zwa kwa nini bado wako huko,si ajabu wakajibu...sababu Azory Gwanda hajapatikana!

Nyinyi Chadema kwa hizi Roho zenu,hata wananchi wanawaogopa kwa sababu mnaonyesha kutawaliwa na Roho mbaya na visasi na hamtakuja kupewa nchi hii asilani.

Labda kije kizazi kingine cha chadema.

Sio nyinyi mnao act kama Cartel za kihalifu kwa mgongo wa kisiasa.

Angalia kule Moshi.

Sabaya kawashinda kesi,lakini sababu kweka kaoa kwa Mbowe,basi ameamua kumtesa kwa makusudi,ilimradi tu,baba mkwe aendelee kufurahi.

Mtu ameshinda kesi,halafu anatolewa Gerezani usiku,kinyume na utaratibu na kuhamishwa Gereza.

Huku mkijifanya wanasiasa kumbe bonge la "Cartel"
 
Azory alienda wapi?
 
Wewe ni BASHITE mwenyewe au mke wake, mbona umeichukulia personal hii thread.
 


Na tuhuma ya jinai huwa haifutiki hadi ifike mahakamani.
 
Wewe ni BASHITE mwenyewe au mke wake, mbona umeichukulia personal hii thread.
Mimi ni voicer of the Voiceless!
Nipo humu kitambo
sana,

Nimeongea sababu inakera kuona vijana kwa maelfu nchi hii,akili zao hazina uwezo wa kujenga sera badala yake tumebaki kurudia rudia vitu visivyoweza kubadili yaliyokwishstokea.

Twendeni tukajenge hoja vijana!
Twende tukawaelimishe wananchi madhara ya itawala wa CCM hadharani.
Twende tukwaeleze madhara ya ufisadi wa CCM.
Twende tukawaeleze madhara ya mikopo isiyo ratibiwa vizuri?

Tunakaa kugombana na Marehemu.
Tunakaa kuwatumia Marehemu kama mitaji yetu ya kisiasa?

Till when?¿
 
Take a chill pill man. Kila uovu uliofanyika inatakiwa ijulikane ukweli ulikuwaje na hiyo haimaanishi ni visasi bali ni kutafuta justice, iwe ni issue ya Azory Gwanda, Ben Saanane, Chacha Wangwe, Mchungaji Mtikila au yoyote mwingine inatakiwa mbivu na mbichi zijulikane.
Kama kwingineko waliyaacha mauaji yakapita bila ya kufanya uchunguzi wa kina hiyo haimaanishi na Wabongo waige hayo, kila mauaji yaliyofanyika yafanyiwe uchunguzi wa kina.
Hayo ya 'cartel' nadhani unaweza kuwafungulia kesi, kuhusu hao wanaoishi nje ya nchi ni wengi tu tunaoishi nje hivyo kama kuishi kwao nje hawajavunja sheria zozote za nchi basi waachwe watarudi watakapotaka wenyewe au hata wasiporudi kabisa bado sioni kama ni tatizo.
 
Responsibility ni ya serikali na vyombo vya usalama kushughulikia hizo tuhuma, Makonda ni mtu mmoja kama wameshindwa wanajuana wenyewe and maybe hajahusika kama mnavyomshutumu🧐
Katili sana wewe, maisha ya mwanadamu mwenzako unachukulia simple hivi au kwa sababu sio ndugu yako, serikali hapo ni suspect sasa itajichunguza vipi?,subiri siku mtoto wako auliwe au apotee ndio ujibie hivi, Mr.Saanane hadi sasa unafikiria imepata closure ya mpendwa wao?kenge sana na roho ya kishetani
 
Hapa kilicho janvini ni tuhuma za jinai dhidi ya Makonda, it's more of a criminal thing than political.
 
Endeleeni kumponza Tu.........huku mkewe kunawasha balaaa.....vijana watamkuna muda sio mrefu
 
Kenge wewe,
Elewa nilichoandika hapo,
Serikali na vyombo vya usalama vimeshindwa kumchukua hatua na huo ni wajibu wao,
Tuwapigie kelele wao juu ya Makonda,
Rejea nimeandika Makonda ni mtu mmoja that means hawezi kuishinda serikali.
Katili my foot😏
 
Kumbe ni tuhuma?,wewe ni umbwa
 

..suluhisho la madai yako ni kuundwa kwa Tume ya Ukweli, Haki, na Maridhiano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…