Makonda si ungesema umeandaa press conference ya kujijenga kisiasa?

Makonda si ungesema umeandaa press conference ya kujijenga kisiasa?

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Nafuatilia mkutano wako ITV kwa wananchi uliouita ni Taarifa ya miezi 6 ya utekelezaji wa majukumu ya Serikali mkoani Arusha.

Lakini ninachosikia kupitia kwa waandishi kina Zembela uliowaandaa, maswali mengi kuhusu Matendo Yako binafsi kama Makonda.

Hakika ungesema uko kwenye kampeni za kujijenga. Maana nilitegemea utueleze Hali ya elimu, siasa, afya, amani, utalii nakadhalika vikoje. Naona saa nzima imeenda maswali na maelezo yote ni mambo binafsi.

Washauri wako wamekuangusha sana.
 
Mkuu kumbuka toka Kinana amejiengua hadi sasa Chama hakina Makamu mwenyekiti, Nadhani hivi karibuni Chama kitaitisha Mkutano wake Mkuu na kuna mabadiliko yatatokea halafu ni kama jamaa atakula Shavu, ni kama ameambiwa Jisafishe kwanza
 
Kama waandishi wamekimbilia kwenye kuuliza maswali binafsi hayo siyo matatizo yake ni matatizo ya waandishi
Kikao cha kimkakati maswali ya kimkakati na majibu ya kimkakati. Wale wote Waandaaji Waendeshaji na Wauliza maswali walipangwa.
 
Nafuatilia mkutano wako ITV kwa wananchi uliouita ni Taarifa ya miezi 6 ya utekelezaji wa majukumu ya Serikali mkoani Arusha.

Lakini ninachosikia kupitia kwa waandishi kina Zembela uliowaandaa, maswali mengi kuhusu Matendo Yako binafsi kama Makonda.

Hakika ungesema uko kwenye kampeni za kujijenga. Maana nilitegemea utueleze Hali ya elimu, siasa, afya, amani, utalii nakadhalika vikoje. Naona saa nzima imeenda maswali na maelezo yote ni mambo binafsi.

Washauri wako wamekuangusha sana.
It seems hii issue ni ya kimkakati sana.
 
Nafuatilia mkutano wako ITV kwa wananchi uliouita ni Taarifa ya miezi 6 ya utekelezaji wa majukumu ya Serikali mkoani Arusha.

Lakini ninachosikia kupitia kwa waandishi kina Zembela uliowaandaa, maswali mengi kuhusu Matendo Yako binafsi kama Makonda.

Hakika ungesema uko kwenye kampeni za kujijenga. Maana nilitegemea utueleze Hali ya elimu, siasa, afya, amani, utalii nakadhalika vikoje. Naona saa nzima imeenda maswali na maelezo yote ni mambo binafsi.

Washauri wako wamekuangusha sana.

Bashite hana akili hiyo yeye anachojua ni masifa ya kijinga huyu jamaa wanaomteua kwenye uongozi wana matatizo au kuna ulozi anatumia huyu zero brain , hana sifa ya uongozi huyu mtu
 
Mkutano wazaidi ya saa5 alipewa dakika 8 ndizo atumie kueleza alichofanya Arusha kwa miezi 6, muda mwingine wote ni maswali nje ya ajenda halafu tunasema tunao waandishi wa habari wabobezi
 
Nafuatilia mkutano wako ITV kwa wananchi uliouita ni Taarifa ya miezi 6 ya utekelezaji wa majukumu ya Serikali mkoani Arusha.

Lakini ninachosikia kupitia kwa waandishi kina Zembela uliowaandaa, maswali mengi kuhusu Matendo Yako binafsi kama Makonda.

Hakika ungesema uko kwenye kampeni za kujijenga. Maana nilitegemea utueleze Hali ya elimu, siasa, afya, amani, utalii nakadhalika vikoje. Naona saa nzima imeenda maswali na maelezo yote ni mambo binafsi.

Washauri wako wamekuangusha sana.
You got it right!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Na kuna mtu pia amemwambia afanye hivyo. Lazima kuna jambo ameahidiwa huyo.
 
Kikao cha kimkakati maswali ya kimkakati na majibu ya kimkakati. Wale wote Waandaaji Waendeshaji na Wauliza maswali walipangwa.
Kaulizwa maswali yote sijaona swali la kupangwa, maswali yote tata kaulizwa. Labda ungesema alikua anajibu kwa kukwepa

Waandishi umewaonea
 
Back
Top Bottom