Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah.....[emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23]nikujifaliji tuu
Kwani kuna mtu kamuuliza?Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Paulo Makonda ameibuka upya kwa kusema kuwa sio lazima apate uteuzi bali anaweza hata kuwa Kiongozi wa Familia.
Mheshimiwa Makonda kabla ya kuachia Ukuu wa Mkoa aligombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kupitia CCM bila mafanikio.
MCL
The only strength they have is kubisha on everything. On that i agree with you, they gotta strength!Hua natafakar sana juu ya hawa chadema napata jibu kua ni chama imara sana, haiwezekan kiwe vinywani mwa watu kila saa nashawishika kbs kua chadema gotta strength
Kwani na yeye ni kama lisu?Kwa bashite Lile kalio tu ni mtaji tosha
Huyu hata kutungisha Mimba kulimshinda sasa ataongoza ninika
Alishakulala mara ngapi mpaka akashindwa kukupa MimbaHuyu hata kutungisha Mimba kulimshinda sasa ataongoza nini
Wewe unaemtetea ndio nikuulizeAlishakulala mara ngapi mpaka akashindwa kukupa Mimba
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Paulo Makonda ameibuka upya kwa kusema kuwa sio lazima apate uteuzi bali anaweza hata kuwa Kiongozi wa Familia.
Mheshimiwa Makonda kabla ya kuachia Ukuu wa Mkoa aligombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kupitia CCM bila mafanikio.
MCL
In simple hafai kuwa kiongozi. Ana majivuno sana msukuma huyu. Tanzania hatutakiwi kumjua kiongozi kwa kabila lake. HafaiMleta Uzi chuki itakufilisi mpaka boxer...
Uheshimiwa wake ni wa niniAliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Paulo Makonda ameibuka upya kwa kusema kuwa sio lazima apate uteuzi bali anaweza hata kuwa Kiongozi wa Familia...
Chd wanakuwasha sana Bila kuwataja husikii rahaChadema watabisha!