ngendabanka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2020
- 252
- 314
Hii ni dharau kubwa sana.Yaani wanatuona sisi kama ni manyani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Puuzi tu kama yule alisema sura ya mtu kuwekwa kwenye noti.Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda amesema ataishawishi Serikali na Uongozi wa juu mara baada ya kukamilika kwa stendi mpya Iringa ili ipewe jina la aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo kwakuwa ameacha alama ndani ya CCM.
Makonda amenukuliwa akisema “Hapa kuna Kaka yangu Chongolo, nilikuwa nae yeye akiwa Mkuu wa Wilaya MimI nikiwa wa Mkoa Dar es salaam, yeye akiwa Katibu Mkuu wa CCM na mimi nikiwa Mwenezi wake sasa nilivyoambiwa kuna hitajika stendi nami nikasema kwa heshima ya Chongolo basi nami nitalibeba ili tuongeze sauti kuhakikisha tunajenga stendi angalau Mwana Mafinga Chongolo awe sehemu ya kumbukumbu na nitawashawishi Viongozi waweke jina la Chongolo kwenye stendi ikiwa sehemu ya kumbukumbu"
Makonda ameyasema hayo wakati akiongea na Wananchi wa Mafinga Mjini mkoani Iringa katika muendelezo wa ziara yake ya mikoa 20.
Credit - MillardAyo
Yaani stendi ya IPOGOLO ibadilishwe iitwe jina la CHONGOLO? Kafanya kitu gani chenye matokeo Chanya kuzawadiwa kumbukumbu ya kiwanja?Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda amesema ataishawishi Serikali na Uongozi wa juu mara baada ya kukamilika kwa stendi mpya Iringa ili ipewe jina la aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo kwakuwa ameacha alama ndani ya CCM.
Makonda amenukuliwa akisema “Hapa kuna Kaka yangu Chongolo, nilikuwa nae yeye akiwa Mkuu wa Wilaya MimI nikiwa wa Mkoa Dar es salaam, yeye akiwa Katibu Mkuu wa CCM na mimi nikiwa Mwenezi wake sasa nilivyoambiwa kuna hitajika stendi nami nikasema kwa heshima ya Chongolo basi nami nitalibeba ili tuongeze sauti kuhakikisha tunajenga stendi angalau Mwana Mafinga Chongolo awe sehemu ya kumbukumbu na nitawashawishi Viongozi waweke jina la Chongolo kwenye stendi ikiwa sehemu ya kumbukumbu"
Makonda ameyasema hayo wakati akiongea na Wananchi wa Mafinga Mjini mkoani Iringa katika muendelezo wa ziara yake ya mikoa 20.
Credit - MillardAyo
Sifa za mjinga Siku zote hujilinda kwa matusiMbona unaandika kama umekalia kitu kigumu chenye ncha butu ikiwa imezama kabisa maungoni mwako?
Chama chama twawalaaa weeweee 😅.Cheap politics. Leo ni mwaka 2024 lakini utasema tuko miaka ya 1960's. Tuna safari ndefu sana kama hiki ndo chama tawala
Tutataka iitwe ya kondaboy😐chadema watataka itwe stendi ya lisu