Makonda: Taifa Stars ni mali ya CCM

Baada ya kipigo hiki.atahamia kwa samagoal ufungaji bora kule ughaibuni ni juhudi za awamu ya tano!
 
Nanukuu:
Kuna kiongozi mmoja kijana serikalini hajielewi.
Mwisho wa kunukuu.
 
Siasa kwenye Mpira.....haya bebeni aibu yetu hiyo nyie wavaa maguo ya kijani.
 
https://www.facebook.com/video.php?v=1685756668235772
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…