Makonda Tunyooshee tatu mzuka (wadudu) Arusha

Makonda Tunyooshee tatu mzuka (wadudu) Arusha

F.S

Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
34
Reaction score
26
Habari wakuu.

Mh. Makonda ujapo Arusha kuanza kazi rasmi tunaomba uanze na tatu mzuka. Hawa vijana wameharibu sifa ya mkoa wa Arusha. Mitaa ya uwanja wa ndege mpaka kisongo hakufai wanakupiga tukio mpaka mchana kweupe. Tafadhali sana nusuru sifa njema ya mkoa huu.

Nawasilisha.
Asante
 
Habari wakuu.

Mh. Makonda ujapo Arusha kuanza kazi rasmi tunaomba uanze na tatu mzuka. Hawa vijana wameharibu sifa ya mkoa wa Arusha. Mitaa ya uwanja wa ndege mpaka kisongo hakufai wanakupiga tukio mpaka mchana kweupe. Tafadhali sana nusuru sifa njema ya mkoa huu.

Nawasilisha.
Asante
Wadudu ndiyo vitu gani?
 
Back
Top Bottom