Makonda usipitilize unafiki, omboleza kivyako halafu nenda zako

Makonda usipitilize unafiki, omboleza kivyako halafu nenda zako

Una uhakika alisingiziwa?!,je dna ilipimwa ikatoa majibu gn?!, na kama alikataa kupima,kwa nini alikataa,au aliigopa nini?, acheni chuki zenu na unafki wenu.
Hivi ulifuatilia ile ishu hadi mwisho?

Hukuona baadae yule dada aliomba radhi?

Yaani we na akili yako usumbue watu na heshima zao kwa ujinga wa Bashite? Yaani ulitaka Lowasa acheze mziki wa Bashite? We Fala kweli asee, kukataa kupima ilikuwa sawa kabisa.

Jinga lile li bashite unadhani lingeshindwa kuwafata mkemia waserekali na kimemo toka kwa jiwe kuwa waseme majibu ya DNA ni positive?
 
Nimeikuta hii makala mahali, nikajisemea, wanafiki wote hata geti la mbinguni hawataliona, Makonda akiwemo.

Paulo Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa DSM, alimtafuta mwanamke anaitwa Fatma Chikawe, akampa jina la ‘Fatma Lowassa’. Edward Lowassa alikuwa mjumbe wa kamati kuu CHADEMA.

Paulo Makonda akamuita mwanamke huyo katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mbele ya waandishi wa habari, akijitambulisha kama mtoto wa kike aliyetelekezwa na Edward Lowassa.

Edward Lowassa akagoma kupimwa DNA akisema hamtambui mwanamke huyo na anatumika kumchafua kisiasa. Edward Lowassa alisema hayo alipohojiwa na gazeti la NIPASHE 2018.

April 10, 2018, Fatma Chikawe alikuwa kati ya waliojitokeza ofisi ya Mkuu wa Mkoa - DSM kutafuta msaada wa kisheria akidai Edward Lowassa ni baba yake mzazi na hajawahi kumuona tangu kuzaliwa.

April 14, 2018, Paulo Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alisema anayo majina zaidi ya 100 ya viongozi wa serikali wakiwepo wastaafu, viongozi wa dini, na wabunge ambao walitajwa.

April 15, 2018, ikaonekana video nyingine katika mitandao ya kijamii, Fatma Chikawe akiomba radhi kwa kumdhalilisha Edward Lowassa akisema tukio hilo limechukuliwa kisiasa na anakosa amani.

Fatma Chikawe katika video hiyo iliyosambaa alinukuliwa alisema aliwahi kukutana na Fred Lowassa (mtoto mkubwa wa Edward Lowassa) na akamuahidi kumsaidia lakini amekuwa kimya.

Mtoto mkubwa wa Edward Lowassa, Fred Lowassa, alishangaa mwanamke huyo aliyejitokeza na kudai kuwa ni binti wa mwanasiasa huyo mkongwe aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Fred Lowassa akamjibu huyo mwanamke, Fatma Chikawe, “Kwa taarifa tu sisi watu wa Monduli kwetu watoto ni baraka na neema, nimeshangaa ametukosa ukoo mzima kujitambulisha.”.

“Namwambia Paul Makonda, nimetoka naye mbali sana, nasikitika sana anavyotumia nafasi yake vibaya kwa manufaa anayoyajua. Paulo Makonda nimekulea.” Alisema Fred Lowassa

Leo Paulo Makonda nyumbani kwa Edward Lowassa, Masaki, Dar es Salaam, anasema kuna watu walimchafua Edward Lowassa na leo wanampongeza na kumsifia Lowassa. Bashite ni TAPELI wa kisiasa.

🤣🤣🤣🤣
in politics there is no permanent enemy 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
sema tu una chuki binafsi labda na makonda, watanzagiza mnapenda sana ku attack watu wa chini makonda alikuwa anatumwa tu kama vile anavyotumwa sasa hivi isitoshe hivi kati ya makonda na aliyemkata lowasa nani kamuumiza zaidi lowasa ? vipi waliokuwa wanasema kajinyea kipindi cha kampeni na mpaka waliweka picha mitandaoni wote hao haujawaona umemuona makonda tu ?ni kama sasa hivi kila mtu analaumu kila mtu kukosekana kwa umeme lkn mhusika mkuu raisi mwenyewe mnamuacha, hii typical tabia ya tanzagiza …
Naona una matatizo ya akili, anayekutukana ni yule tunayemsikia na kumuona. Mtu akitumwa kukulawiti na akakulawiti huwezi kusema hana kosa bali ni kosa la aliyemtuma
UMEEEEERREWAAAA?
 
sema tu una chuki binafsi labda na makonda, watanzagiza mnapenda sana ku attack watu wa chini makonda alikuwa anatumwa tu kama vile anavyotumwa sasa hivi isitoshe hivi kati ya makonda na aliyemkata lowasa nani kamuumiza zaidi lowasa ? vipi waliokuwa wanasema kajinyea kipindi cha kampeni na mpaka waliweka picha mitandaoni wote hao haujawaona umemuona makonda tu ?ni kama sasa hivi kila mtu analaumu kila mtu kukosekana kwa umeme lkn mhusika mkuu raisi mwenyewe mnamuacha, hii typical tabia ya tanzagiza …
Yaani wewe ndo punga kabisa, mleta mada amemsema makonda sababu makonda mwenyewe amekuwa na kiherehere cha kusema watu. Hao wengine umewasikia wakisema nini?!!!! Usiwe kubwa jinga basi.
 
Yaani wewe ndo punga kabisa, mleta mada amemsema makonda sababu makonda mwenyewe amekuwa na kiherehere cha kusema watu. Hao wengine umewasikia wakisema nini?!!!! Usiwe kubwa jinga basi.
Naona una matatizo ya akili, anayekutukana ni yule tunayemsikia na kumuona. Mtu akitumwa kukulawiti na akakulawiti huwezi kusema hana kosa bali ni kosa la aliyemtuma
UMEEEEERREWAAAA?

kwa hiyo makonda ndiye aliyesambaza picha mitandaoni kwamba lowasa kajinyea? makonda ndiye aliyemsukuma mpaka lowasa akajiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya richmond? makonda ndiye aliyekata jina la lowasa huko nec ? I mean mko sooo petty na ndiyo maana hamuendi popote, makonda anatumwa na kutumika tu hata kesho atamgeukia samia pia, sasa kama hata mnashindwa kuliona hilo then mna tatizo kubwa …
 
Yaani wewe ndo punga kabisa, mleta mada amemsema makonda sababu makonda mwenyewe amekuwa na kiherehere cha kusema watu. Hao wengine umewasikia wakisema nini?!!!! Usiwe kubwa jinga basi.
Watu wana matatizo!
 
aulo Makonda akamuita mwanamke huyo katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mbele ya waandishi wa habari, akijitambulisha kama mtoto wa kike aliyetelekezwa na Edward Lowassa.
Huyu mtu amefanya UOVU mwingi sana katika jamii!
Uovu aliofanya nahisi ni shetani tu anauweza!
 
Kwa dunia ilipo kwa sasa, sitoshangaa chochote, Makonda yuko okay pia ENL pia yuko okay

Pia, kuzaa mtoto hakutegemei kufanya ngono mara nyingi sana, hata ukiwa umekunywa wine ukafanya siku hiyohiyo tena kwa bahati mbaya, utazaa

Sitoshangaa kwa kiongozi yeyote kuwa na mtoto nje ya ndoa yake hasa nyama zinapotumika sana kwenye hafla zao
 
Nimeikuta hii makala mahali, nikajisemea, wanafiki wote hata geti la mbinguni hawataliona, Makonda akiwemo.

Paulo Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa DSM, alimtafuta mwanamke anaitwa Fatma Chikawe, akampa jina la ‘Fatma Lowassa’. Edward Lowassa alikuwa mjumbe wa kamati kuu CHADEMA.

Paulo Makonda akamuita mwanamke huyo katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mbele ya waandishi wa habari, akijitambulisha kama mtoto wa kike aliyetelekezwa na Edward Lowassa.

Edward Lowassa akagoma kupimwa DNA akisema hamtambui mwanamke huyo na anatumika kumchafua kisiasa. Edward Lowassa alisema hayo alipohojiwa na gazeti la NIPASHE 2018.

April 10, 2018, Fatma Chikawe alikuwa kati ya waliojitokeza ofisi ya Mkuu wa Mkoa - DSM kutafuta msaada wa kisheria akidai Edward Lowassa ni baba yake mzazi na hajawahi kumuona tangu kuzaliwa.

April 14, 2018, Paulo Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alisema anayo majina zaidi ya 100 ya viongozi wa serikali wakiwepo wastaafu, viongozi wa dini, na wabunge ambao walitajwa.

April 15, 2018, ikaonekana video nyingine katika mitandao ya kijamii, Fatma Chikawe akiomba radhi kwa kumdhalilisha Edward Lowassa akisema tukio hilo limechukuliwa kisiasa na anakosa amani.

Fatma Chikawe katika video hiyo iliyosambaa alinukuliwa alisema aliwahi kukutana na Fred Lowassa (mtoto mkubwa wa Edward Lowassa) na akamuahidi kumsaidia lakini amekuwa kimya.

Mtoto mkubwa wa Edward Lowassa, Fred Lowassa, alishangaa mwanamke huyo aliyejitokeza na kudai kuwa ni binti wa mwanasiasa huyo mkongwe aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Fred Lowassa akamjibu huyo mwanamke, Fatma Chikawe, “Kwa taarifa tu sisi watu wa Monduli kwetu watoto ni baraka na neema, nimeshangaa ametukosa ukoo mzima kujitambulisha.”.

“Namwambia Paul Makonda, nimetoka naye mbali sana, nasikitika sana anavyotumia nafasi yake vibaya kwa manufaa anayoyajua. Paulo Makonda nimekulea.” Alisema Fred Lowassa

Leo Paulo Makonda nyumbani kwa Edward Lowassa, Masaki, Dar es Salaam, anasema kuna watu walimchafua Edward Lowassa na leo wanampongeza na kumsifia Lowassa. Bashite ni TAPELI wa kisiasa.

🤣🤣🤣🤣
 
Una uhakika alisingiziwa?!,je dna ilipimwa ikatoa majibu gn?!, na kama alikataa kupima,kwa nini alikataa,au aliigopa nini?, acheni chuki zenu na unafki wenu.
Kukataa kupimwa kwa serikali hii wala sishangai..!! Unakumbuka Lisu naye alikataa kupimwa mkojo?? Unajua sababu?
 
kwa hiyo makonda ndiye aliyesambaza picha mitandaoni kwamba lowasa kajinyea? makonda ndiye aliyemsukuma mpaka lowasa akajiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya richmond? makonda ndiye aliyekata jina la lowasa huko nec ? I mean mko sooo petty na ndiyo maana hamuendi popote, makonda anatumwa na kutumika tu hata kesho atamgeukia samia pia, sasa kama hata mnashindwa kuliona hilo then mna tatizo kubwa …
We walimu waliokufundisha walipata tabu sana. Kwaheri
 
Aisee. Sijui hata kama ana uwezo wa kukumbuka.
Autoe wapi huo uwezo,unadhani angekuwa na huo uwezo angeongea hizo pumba alizoongea hapo msibani? Akili na kumbukumbu zote zimekimbilia kwenye masaburi yake.
 
Tutofautishe maisha ya mtu akiwa hai na akiwa amekufa. Maana yangu ni nini yapo mambo aliyotenda Marehemu akiwa hai kama yalikuwa ya kipuuzi na watu wakatoka hadharani kuusemea upuuzi huo tusiwajadili kwà mtazamo hasi. Kwà kuwa ilikuwa katika kujenga. Pia tusipende kumuelezea Marehemu kwà mazuri tu tueleze na mabaya yake ili kupunguza unafiki katika jamii yetu ya kitanzania.
Huna tofauti na Bashite
 
Leo Paulo Makonda nyumbani kwa Edward Lowassa, Masaki, Dar es Salaam, anasema kuna watu walimchafua Edward Lowassa na leo wanampongeza na kumsifia Lowassa. Bashite ni TAPELI wa kisiasa.

Masopakyindi, ninyi CCM wote ni matapeli ya kisiasa tu, msimcheke wala kumnanga mwenzenu Paul...

Paul alitumika, na anaendelea kutumika na wapo wanaomtumia na wapo CCM...
 
Masopakyindi, ninyi CCM wote ni matapeli ya kisiasa tu, msimcheke wala kumnanga mwenzenu Paul...

Paul alitumika, na anaendelea kutumika na wapo wanaomtumia na wapo CCM...
Mtu kutumika kiunafiki kama anavyofanya Makonda ,inakera.
 
Back
Top Bottom