LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Hii ni kero ya watu wengi nimeamua kuiweka hapa ili wahusika wachukuliwe hatua,
Kwanza kabisa kwenye mwezi wa tano hawa jamaa wa haisi walikuwa hawafiki mwisho wa ruti kwa zaidi ya miaka miwili walikuwa wanaishia relini yaani kuna kama km4 hivi ndo ufike kiseriani mafukani, ambapo nauli ilikuwa ni 700 ile ile
Sasa baada ya kuamrishwa kufika mwisho wa ruti wakawa wanafika ikiwa nauli ni hiyo hiyo 700
Kero inakuja ni kwamba abiria ukishukia relini unalipa 600 lakini ukivukishwa tu reli hata mita 100 wao wanakata 700 utake usitake labda tu umpe 600 kamili
Ni kero yangu ya leo mimi siku hizi napanda na 600 yangu sitaki usumbufu.
Kwanza kabisa kwenye mwezi wa tano hawa jamaa wa haisi walikuwa hawafiki mwisho wa ruti kwa zaidi ya miaka miwili walikuwa wanaishia relini yaani kuna kama km4 hivi ndo ufike kiseriani mafukani, ambapo nauli ilikuwa ni 700 ile ile
Sasa baada ya kuamrishwa kufika mwisho wa ruti wakawa wanafika ikiwa nauli ni hiyo hiyo 700
Kero inakuja ni kwamba abiria ukishukia relini unalipa 600 lakini ukivukishwa tu reli hata mita 100 wao wanakata 700 utake usitake labda tu umpe 600 kamili
Ni kero yangu ya leo mimi siku hizi napanda na 600 yangu sitaki usumbufu.