Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Mwishoni mwa mwezi April serikali na wadau wa Usafirishaji na Usafiri walifanya kikao kujadili gharama za Usafirishaji na kufikia makubaliano ya nauli mpya ambazo zingeanza kutumika katikati ya mwezi Mei.
Leo asubuhi nasikia mafuta yamepanda na kuuzwa elfu 3 na ushehe kwa petroli na diesel lakini cha kushangaza daladala leo wanabeba watu kwa nauli ileile ya miaka mingi iliyopita.
Pandisheni nauli haraka.
Kama ni athari za Ukraine & Russia war basi kila mmoja aonje hiyo ladha.
Nje ya mada: Kwanini serikali isiende kununua mafuta Urusi ambako yanauzwa kwa bei ndogo zaidi kuliko nchi zote duniani?.
Mwishoni mwa mwezi April serikali na wadau wa Usafirishaji na Usafiri walifanya kikao kujadili gharama za Usafirishaji na kufikia makubaliano ya nauli mpya ambazo zingeanza kutumika katikati ya mwezi Mei.
Leo asubuhi nasikia mafuta yamepanda na kuuzwa elfu 3 na ushehe kwa petroli na diesel lakini cha kushangaza daladala leo wanabeba watu kwa nauli ileile ya miaka mingi iliyopita.
Pandisheni nauli haraka.
Kama ni athari za Ukraine & Russia war basi kila mmoja aonje hiyo ladha.
Nje ya mada: Kwanini serikali isiende kununua mafuta Urusi ambako yanauzwa kwa bei ndogo zaidi kuliko nchi zote duniani?.