Makonda amekiri kwamba matajiri wengi huchangia chama cha mapinduzi kwa uoga ila sio kwamba wanakipenda chama ili wasiletewe TRA, TAKUKURU, Uhamiaji ama Polisi.
Msikilize mwenyewe.
---
Your browser is not able to display this video.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amesema wafanyabiashara wengi wamekuwa wakitoa michango ndani ya chama bila mapenzi bali kwa hofu ya kutoingia kwenye matatizo.
Makonda amesema hayo leo Februari 09, 2024 alipozungumza na wakazi wa Makambako mkoani Njombe huku amwagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, kufanya majadiliano na wafanyabiashara nchi nzima ili kusikiliza mambo yanayowatatiza.
NIVIGUMU KUNIELEWA NDIVYO ILIVYO WATZ WENGI WANAPENDA KIONGOZ MKALI NA MWENYE MSIMAMO MKALI NA MWENYE UTATUZI WA JAMBO TIT 4 TAT NA CYO LONGOLONGO KM HAO WENGNE.BASHITE LUKUVI HAO NDYO WANAOFAA.JAPO TUNAHITAJI TAASISI IMARA NA WALA C MTU IMARA.MTU ANAPITA LAKIN TAASIS ITADUMU MILELE
NIVIGUMU KUNIELEWA NDIVYO ILIVYO WATZ WENGI WANAPENDA KIONGOZ MKALI NA MWENYE MSIMAMO MKALI NA MWENYE UTATUZI WA JAMBO TIT 4 TAT NA CYO LONGOLONGO KM HAO WENGNE.BASHITE LUKUVI HAO NDYO WANAOFAA.JAPO TUNAHITAJI TAASISI IMARA NA WALA C MTU IMARA.MTU ANAPITA LAKIN TAASIS ITADUMU MILELE
Katibu mwenezi wa CCM komredi Makonda amesema Wafanyabiashara Wengi wanachangia CCM siyo kwa sababu Wanakipenda sana bali Wana Hofu Wasipochanga wataletewa TRA Polisi Takukuru nk wawashughulikie
NIVIGUMU KUNIELEWA NDIVYO ILIVYO WATZ WENGI WANAPENDA KIONGOZ MKALI NA MWENYE MSIMAMO MKALI NA MWENYE UTATUZI WA JAMBO TIT 4 TAT NA CYO LONGOLONGO KM HAO WENGNE.BASHITE LUKUVI HAO NDYO WANAOFAA.JAPO TUNAHITAJI TAASISI IMARA NA WALA C MTU IMARA.MTU ANAPITA LAKIN TAASIS ITADUMU MILELE
Duu umenikumbusha lizee fisadi laana Lukuvi
Lilifika Dodoma Nkuhungu broad acre likasema hati zawatu za kurenew zikafungie maandazi kumbe limejipanga na Mkurugenzi wa Jiji Mafuru kuwaibia watu maeneo Yao