Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama nmechangia pesa wangu kwa nn nisipandishe vitu bei ninayotakaNchi ina watu wa hovyo hovyo sana hii ndio maana wanaamua kufanya chochote..
Viwanda vinaambiwa kiwango cha kuzalisha ili baadae wapewe wahuni vibali vya kuleta sukari...Sasa kama nmechangia pesa wangu kwa nn nisipandishe vitu bei ninayotaka
Au naficha sukar na msinifanye chochote
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app