johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe humjui au unataka kuleta ligi tu bwashee?!Huyu ni waziri mkuu,waziri wa afya au ni msemaji wa serikali?
Kwa hiyo mgeni akitoka nje ya nchi akashukia mikoa mingine kisha kuingia DSM hausiki na karantini?! What is so special in DSM and not deserve to be cared to the rest of regions serious towards the campaign against this deadly disease?Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema wageni wote wanaoingia jijini wakitokea nchi zilizoathirika zaidi na corona watawekwa karantini ya siku 14 katika hoteli maalum kwa gharama zao wenyewe.
Makonda amesema Hotel hizo hazitatangazwa kwa sababu za kiusalama na kuepusha unyanyapaaji kwa wageni.
Kadhalika mh Makonda amewataka wananchi wa jiji la Dsm kuendelea kuzingatia usafi katika maeneo yao ikiwemo kunawa mikono kwa sabuni.
Source Channel ten tv!
Atashughulikiwa huko huko alikoingilia utaratibu uko wazi.Kwa hiyo mgeni akitoka nje ya nchi akashukia mikoa mingine kisha kuingia DSM hausiki na karantini?! What is so special in DSM and not deserve to be cared to the rest of regions serious towards the campaign against this deadly disease?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni siri ya Hotel na mteja!Gharama za kukaa karantini ni bei gani kwa siku?
We ujui nguvu ya NaibuAache kiherehere huyu kilaza. Hill jambo liko ngazi ya kitaifa hawezi kulisemea yeye.
Hata baba yake Jana katoa tahadhari kuwa wasemaji wa mambo hayo watakuwa PM, Ummy na Msemaji wa serikali.
Mbona ana adabu ndogo hivi? Ndio yale ya kumzoesha mbwa kukufata mwisho atakufata hadi msikitini
Sent using Jamii Forums mobile app