johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema wageni wote wanaoingia jijini wakitokea nchi zilizoathirika zaidi na corona watawekwa karantini ya siku 14 katika hoteli maalum kwa gharama zao wenyewe.
Makonda amesema Hotel hizo hazitatangazwa kwa sababu za kiusalama na kuepusha unyanyapaaji kwa wageni.
Kadhalika mh Makonda amewataka wananchi wa jiji la Dsm kuendelea kuzingatia usafi katika maeneo yao ikiwemo kunawa mikono kwa sabuni.
Source Channel ten tv!
Makonda amesema Hotel hizo hazitatangazwa kwa sababu za kiusalama na kuepusha unyanyapaaji kwa wageni.
Kadhalika mh Makonda amewataka wananchi wa jiji la Dsm kuendelea kuzingatia usafi katika maeneo yao ikiwemo kunawa mikono kwa sabuni.
Source Channel ten tv!