Makonda, wanakutumia kuelekea 2025. Wakizingua gombea mwenyewe

Acha kumfanganya huyo Zerobrain !! Kwanza hana akili za kutawala pili huyu Bashite ni mfungwa mtarajiwa tu. Upende usipende, baada ya Samia kutoka madarakani Makonda atapandishwa mahakamani kwa makosa yenye ushahidi ambao haufutiki.
 
Makonda hana properties za uongozi hata moja, hajui mipaka yake ya kikazi, anafanya mambo kimihemko ni ignorant pekee ndio wanaoweza kumuelewa, "viongozi wanyanyua mabega hawatufai"
::Let's continue watching the game!
🤣🤣🤣
 
Mujukwaa ya "futuhi....."..
 
Makonda hana properties za uongozi hata moja, hajui mipaka yake ya kikazi, anafanya mambo kimihemko ni ignorant pekee ndio wanaoweza kumuelewa, "viongozi wanyanyua mabega hawatufai"
::Let's continue watching the game!
kati ya watu wajnga wewe ni mmoja wapo
 
Huu ushauri ukiutazama haraka ni mzuri ila ni wa kuangamiza mtu mazima ukifuatwa.
 
Makonda lenyewe ni jizi, halafu eti nchi ya majizi inahitaji viongozi kama Makonda.
 
kati ya watu wajnga wewe ni mmoja wapo
Hatuwezi kuwa sawa kimitizamo wala hatuwezi kufanana kimitizamo, wewe unaweza kuona kengeza lakini mimi nikaona chongo! Sio muumini wa kiongozi mwenye mihemko na amsha amsha! Nasimama katika principles!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…