Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,652
- 2,355
Badala ya kuhangaika na upuuzi angehakikisha wanawake wakienda kujifungua wasitozwe gharama yoyote kwenye hospitali za uma maana wanawake wa Dar wasio na hela wanateseka sana mahospitalini.