Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] weee madame iz it serious? Au acc imehackiwa? Lol unakimbia fursa khaaaaaaaaaaahHiyo sheria ikipitishwa nitaachana na mume wangu tubakie kuwa mahawara.
Wewe ni Me au Mdada ?.Tena 40 ni ndogo sana inabidi iwe 60 kabisa.
Sky kwa nini ?.Hiyo sheria ikipitishwa nitaachana na mume wangu tubakie kuwa mahawara.
Kwasababu akipangiwa itavuruga mapenzi yetu, ninapata zaidi ya 40% sasa hiviSky kwa nini ?.
Jibu lake hukuliona? Au mkuki kwa nguruwe?Asee wewe majibu yako makali.
Ww zako zinaishia kwa waganga kumfunga mme awe zuzu.Upo sahihi mkuu wa mkoa wanaume pesa zao zinaishia kwa mchepuko na bar nakuwasahau wake na watoto wanateseka majumbani.
Ahahahaha sijaliona bana, ila punguza ukali wa maneno mtoto mzuri sawa?Jibu lake hukuliona? Au mkuki kwa nguruwe?
Pia, vipi kwa upande wa wafanyabiashara, wakulima na wafugaji?Hii naona hainihusu, na kwa wale wa baba wa nyumbani nao itakuwaje?
Mweeeh!! Maneno malaini kabisa hayo mbona. Nimepita mule mule alipopita.Ahahahaha sijaliona bana, ila punguza ukali wa maneno mtoto mzuri sawa?
Huyu mkuu wa mkoa anapenda kushughulika na mambo mepesi mepesi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha sawa rafiki.Mweeeh!! Maneno malaini kabisa hayo mbona. Nimepita mule mule alipopita.
Sky fungua hiyo mada hapo chini nimekuomba ushauri.Kwasababu akipangiwa itavuruga mapenzi yetu, ninapata zaidi ya 40% sasa hivi
Agombee ubunge kwenda bungeni kupeleka huo muswada aone jinsi anavyokubalika.