Makonda: Wanaume wafanyakazi wakatwe asilimia 40 ya mishahara yao wapewe wake zao

Fungu la kumi 10%
Wife alowance 40%
SSF 10%
PAYE 11%
Loan board 15%
Staff loan 25%
Health insirance 05%

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji38] home unarudi na mjogojo unaning'inia ndani ya boxer khaaaaaaaah, nyie wanaume mumuombe msamaha PAUL uwiiiiiiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaakiri sana wewe jamaa,kweli mchawi mpe mwanao akulelee.hapo shemeji anatamani kuomba poo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mkuu maana hii Sharia inaubaguzi sana itafanya tusio na ajira tutakosa wanawake bhana
Sasa mkuu, wamesema wanataka wawe wanakata 40% ya kiasi cha mishahara ya hao wanaotumika, sasa utakuwa unakatwaje ? au utakuwa unapeleka mwenyewe ?, pia ni lazima tujue mapato yako kwa mwezi
 
Usije kuwa unawa attract wale CID waanze kukufuatilia Mkuu !!
 
Dada zetu wengine hawana shida ya pesa. Shida yao ni kutojiamini na kujiona wamepigwa pasi au hawana tako.
RC aliangalie hili ili wanaume waliojaliwa mitako, angalau wapunguze kwa asilimia 40 na kuwapa dada zetu wenye uhitaji.

Imekaaje hii wakuu?
 
Sasa mkuu, wamesema wanataka wawe wanakata 40% ya kiasi cha mishahara ya hao wanaotumika, sasa utakuwa unakatwaje ? au utakuwa unapeleka mwenyewe ?, pia ni lazima tujue mapato yako kwa mwezi
Inategemea na dili limejiseti vipi
 
Sina mengi saaana nitaandika kwa Kifupi ikisapotiwa na picha. #tafadhali RC jiji letu KAMUULIZE RAHEEM STERLING ugumu wakazi aliyoifanya alafu KUKATWA 40%
Rejea na picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200311_041706_127.jpeg
    18.2 KB · Views: 1
IQ ya Bashite iko chini mno huku anapinga uchoko lakini matendo yake ni ya kichoko zaidi ya machoko na ulaya walianza hivi hivi baadae wakajitangaza na kutaka kuolewa kabisa. Kichwa chake hakifikiri zaidi ya anayosema.
 
IQ ya Bashite iko chini mno huku anapinga uchoko lakini matendo yake ni ya kichoko zaidi ya machoko na ulaya walianza hivi hivi baadae wakajitangaza na kutaka kuolewa kabisa. Kichwa chake hakifikiri zaidi ya anayosema.
Akili na Elimu ni vitu Viwili tofauti kabisa
Kwa maana havina uhusiano unaweza ukawa na Elimu ukakosa Akili,vivyo hivyo
Unanaweza ukawa na Akili lakini Elimu huna binafsi huwa siangalii Elimu mi naangalia AKILI mtu mwenye uwezo wa kutafakari mambo ya busara sio blaablaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…