Pre GE2025 Makonda: Wezi na Mafisadi Wana Umoja Sana

Pre GE2025 Makonda: Wezi na Mafisadi Wana Umoja Sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Dunia inao wachache mno wenye haki, na watenda maovu hujivuna kwa uovu wao, huutetea uovu wao, wako tayati kumwaga damu nyingine kutetea ujangili wao

Na siku zote mtu muoga wa kusemwa kwa sababu anasimamia ukweli, hawezi kuwatetea watu hadharani, mtu huyo huchagua njia ya kuabudu uovu na hayuko tayari kuitetea haki maana haki haipendwi na wengi, Haki ni adui mkubwa sana ya watu wengi waovu

Na ndiyo maana leo, tunaviongozi wengi wanaabudu uovu wa matendeo ya watishao kwa uovu wao, hawana kauli yoyote mbele ya watishao kwa maovu

Kuna kiongozi mmoja alidiriki kusema, ukiwagusa mafisadi, unaua nchi, hiyo ni ibada kamili ya mtu muovu dhidi ya waovu wenzake

Siku zote dhambi kuu, hubebwa na mabwanyeye yaliyoshimdikana, yana ukwasi na yanatisha, hayo haywezi kukemewa hata kwenye nyumba za Ibada, lakini ni kwa faida ya Nani?

Ni kwa faida ya njaa tu za viongozi, wakati wao wakiamini wanamtumikia huyo, naye huyo hawaju hao,

Ushetani kuugeuza ili uwe wema, ni gharama kubwa mno, ni nani awezaye kuvumilia matusi ya waovu?

Duniani, tunaishi kwa muda mufupi mno ukilinganisha na tulikotokea kabla ya kuweko Duniani na baada ya kutoka tena Duniani

Chukia uovu kwa nguvu zote ili uwe mingoni mwa wale wanao na matumiani ya amani kutumika bila dhuluma huku wakijua, kufanya hivyo, ni kuwa upande wa wale wachache mno walio na tunda la Mungu ndani yao

Makonda, endele hivyo hivyo, hata kama heshima yako itakuwa ziro kabisa duniani, ila kwa kuwa unajipambanua kwa kuchukia dhuluma, Mungu anathawabu yako
Kati ya wenye pesa na maskini wapi wanatakiwa kulindwa Kwa maslahi ya Nchi?
 
Kati ya wenye pesa na maskini wapi wanatakiwa kulindwa Kwa maslahi ya Nchi?
Kwa hapa Duniani na kwa mambo yenye kuishia tu Duniani, yalindwe yenye fedha na viongozi aina ileile ya waovu wasio na tumaini la baada ya maisha ya dunia

Ila kwa ushauri wangu, Haki ndio iwe kipaombele
 
Kwa hapa Duniani na kwa mambo yenye kuishia tu Duniani, yalindwe yenye fedha na viongozi aina ileile ya waovu wadio na tumaini la baada ya maisha ya dunia
Baada ya maisha ya Duniani ukifa Kuna maisha mengine wapi? 😁😁😁

Mbona Watu kama Makonda Wana kashfa za uovu au Kuna uovu gani unausemea wewe? 😆😆
 
Baada ya maisha ya Duniani ukifa Kuna maisha mengine wapi? 😁😁😁

Mbona Watu kama Makonda Wana kashfa za uovu au Kuna uovu gani unausemea wewe? 😆😆
Ufalume mmoja hauwezi kufitinika

Sina ushahidi wowote na sina nafasi ya kuhukumu kwa sababu sina ushahidi
 
Baada ya maisha ya Duniani ukifa Kuna maisha mengine wapi? 😁😁😁

Mbona Watu kama Makonda Wana kashfa za uovu au Kuna uovu gani unausemea wewe? 😆😆
Zaburi 90:4
Maana miaka elfu machoni pako
Ni kama siku ya jana ikiisha kupita,
Na kama kesha la usiku.

Chukua umri wote wa Dunia tangu kuwepo na kisha uzigawe hizo miaka kwa usiku mmoja ambao kwa Mungu ni sawa na miaka elfu moja, uone jinsi wewe miaka yako hamsini unayojidai umeishi siku nyingi, kumbe katika siku za Kiungu una sekunde moja tu ya miaka yako yote hapa Duniani na uone ubishi wako usivyo namaana mkuu
 

Huyu zero brain albert bashite ni mwizi namba moja anajulikana pamoja na jamaa wake sabaya
 
Asema hawezi kumvumilia Kiongozi mxembe.Kwmaba hata akiwa Mkuu wa Mkoa Kwa siku 1 inatosha.

View: https://www.instagram.com/reel/C7bpMtHqrAX/?igsh=NGJqc2xmeG5oNnR6

My Take
Unafuga kinyago harafu unakiogopa tena.

Taibia za kudhalilisha Watumishi wa Umma Kwa Kisingizio vya Ufisadi ,wizi na uzembe ikome mara Moja.Nakumbuka ilianzishwa na Mwendazake wakati majizi ni ma ccm na sio Watumishi wa Umma.

Mfano Makonda anaweza elezea vyanzo vya Mali zake jinsi alivyozipata?

We ni chizi
 
Asema hawezi kumvumilia Kiongozi mxembe.Kwmaba hata akiwa Mkuu wa Mkoa Kwa siku 1 inatosha.

View: https://www.instagram.com/reel/C7bpMtHqrAX/?igsh=NGJqc2xmeG5oNnR6

My Take
Unafuga kinyago harafu unakiogopa tena.

Taibia za kudhalilisha Watumishi wa Umma Kwa Kisingizio vya Ufisadi ,wizi na uzembe ikome mara Moja.Nakumbuka ilianzishwa na Mwendazake wakati majizi ni ma ccm na sio Watumishi wa Umma.

Mfano Makonda anaweza elezea vyanzo vya Mali zake jinsi alivyozipata?

Kumbe UWT na THRC wanahusika kwenye uovu huu!
 
Yeye ndo jizi na fisadi. Serikali ingekuwa serious kwenye kuchunguza mali na pesa za wateule wa rais bashite angeenda jela. Akiwa RC wa Dar alikuwa anatembelea range rover na Nissan patrol Phantom V8 achilia mbali mgogoro wa nyumba ya GSM. Pesa alitoa wapi za kumiliki jumba kama lile alilonyang'anywa na GSM kama sio mwizi na fisadi?
 
CCM mmekosa watu wa kituongoza hadi mnatupa huyu mtu.

Uongozi ni mpaka kumdhakikisha mtu kiasi hicho.

Style ya hovyo kabisa ya uongozi.
 
Asema hawezi kumvumilia Kiongozi mxembe.Kwmaba hata akiwa Mkuu wa Mkoa Kwa siku 1 inatosha.

View: https://www.instagram.com/reel/C7bpMtHqrAX/?igsh=NGJqc2xmeG5oNnR6

My Take
Unafuga kinyago harafu unakiogopa tena.

Taibia za kudhalilisha Watumishi wa Umma Kwa Kisingizio vya Ufisadi ,wizi na uzembe ikome mara Moja.Nakumbuka ilianzishwa na Mwendazake wakati majizi ni ma ccm na sio Watumishi wa Umma.

Mfano Makonda anaweza elezea vyanzo vya Mali zake jinsi alivyozipata?

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1794719329902268927?t=TU1AHvHxJkpzYNsOJlSycg&s=19

Kwa hiyo wananchi wangoje Mahakama baada ya miaka 20 hukumu itoke
Si Utakuwa umekufa?
Hii Network Ni kubwa Sana
 
Alichokifanya Makonda kwa yule dada wa watu ni udhalilishaji. Na bahati mbaya hajaanza leo wala jana. Kimsingi hakuwa na sababu ya kuongea yale maneno yake ya kejeli. Maanq hayana uhusiano wowote ule na huo ufisadi, uzembe, nk.
Makonda ni mjinga sana,hataki kukosolewa,anahamisha magoli, ishu ni yeye kudhalilisha watumishi wa serikali lakini anageuza maneno isomeke kuwa anasakamwa kwa kushughulikia kero za wananchi.
 
Asema hawezi kumvumilia Kiongozi mxembe.Kwmaba hata akiwa Mkuu wa Mkoa Kwa siku 1 inatosha.
View attachment 3000123

My Take
Unafuga kinyago harafu unakiogopa tena.

Taibia za kudhalilisha Watumishi wa Umma Kwa Kisingizio vya Ufisadi ,wizi na uzembe ikome mara Moja.Nakumbuka ilianzishwa na Mwendazake wakati majizi ni ma ccm na sio Watumishi wa Umma.

Mfano Makonda anaweza elezea vyanzo vya Mali zake jinsi alivyozipata?
Bomayeeee Konda boy kanyaga hizi chawa za wezi
 
Back
Top Bottom