Makonda yupo wapi?

Makonda yupo wapi?

Kwenye mambo ya msingi ukimtaja Kikwete umeondoa mantiki nzima ya ujumbe. Ni failure president aliyewahi kutokea duniani kuanzia kwenye chama hadi akatengwa na wanachama, kwenye nchi hadi akatengwa na wananchi, kwenye jumuiya ya afrika mashariki hadi akatengwa na kina Uhuru Kenyata na Kagame.

Kuna wakati alibaki na kina Nape, Kinana na familia yake tu.

Kwenye level za dunia alipatwa kuulizwa kwa nini nchi yake maskini akasema hata yeye hajui.

Kwa sasa ukiona Kikwete anaongea jaribu kufanya check & balance. Lazima kuna mahali maslahi yake yameguswa. Kwa sasa kaongea vile sababu ya uteuzi wa Makonda. Ni mwiba kwake na jamaa zake. Kwao ni tishio. Hata kama si kwa matendo ila kwa kauli nzito za Makonda.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Huyu hapa
2a5d2fa3-7cfa-4975-9dbe-6913801b05ba.jpg
 
Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?

Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.

Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu
Moto wa KIFUU soon atatulia washamzoea na TK lake kubwa.....
 
Ni juzi tu mlikuwa mnamtaka Makonda apunguze speed.

Sawa; amepunguza: tena leo mnahoji yupo wapi?

Hii nchi ngumu sana!
 
Back
Top Bottom