Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
CCM ilipofikia hakuna anayemzidi Makonda kwa kukubalika ndani ya chama, Amini Maneno yanguHamna anayemuwandaa basi tu kiherehere chake Cha kuonekana tu.
MAKONDA ANAJISAFISHA KWA MAOVU YOTE ALIYOYATENDA NA SWAHIBA wake MAGUFULI ANASAHAU MSAMAHA lazima uwaombe kwanza uliowakosea sio kuomba Viongozi wa Dini Wakupe baraka zao
Siasa ni Sayansi
Tanganyika na Palestine yalikuwa Makoloni ya Uingereza
Hata Mashoga Katoliki imeamuwa kuwapa Baraka!!MAKONDA ANAJISAFISHA KWA MAOVU YOTE ALIYOYATENDA NA SWAHIBA wake MAGUFULI ANASAHAU MSAMAHA lazima uwaombe kwanza uliowakosea sio kuomba Viongozi wa Dini Wakupe baraka zao
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Na huo ndiyo ukweli.CCM ilipofikia hakuna anayemzidi Makonda kwa kukubalika ndani ya chama, Amini Maneno yangu
Makonda haitaji Keegan awe Chipukizi Kwani ana Watu wa kutisha Chamani 😂