Makongo High School...!!!


Mkuu sitasahau siku masta mayebe alikusanya majina ya wapiga kelele akatubakiza jioni. Huwezi amini kila mtu alipewa darasa moja kupiga deki mpaka akikagua yeye mwenyewe na kutoa ruhusa. Nakumbuka tuliondoka saa tatu usiku.
 
Ha ha ha daaah nakumbuka kipindi kile nisipojisikia kukaa class naenda zangu Nyambiz hall kupiga buku......lol Yeye alikuwa na kelele ile mbaya,Wapi Kisarika ni noma mbayaa,Mataula kitu black ile mbaya.
Makongo enzi ile bwana........

"Makongo ilikuwa kipindi cha Col. KIPINGU, alivyotoka tu, na baadhi wa walimu 'vichwa' wakadorora na wengine wakaondoka. Zile adhabu za kuchimba visiki barabarani asubuhi na mchana wakati jua lachoma...zilikuwa zinasaidia na kurudisha wanafunzi kwenye mstari.

MAKONGO ya Col Kipindu ilikuwa MFUMO SAHIHI wa kimasomo".
 

Wewe Bupilipili sio baba jack kweli wa ifm? The teh teh
 
Last edited by a moderator:

Bupilipili wa darasa la H au nimekosea?
 
Last edited by a moderator:

Ndugu umenikumbusha mbali sana,huo wimbo wa shule aliutunga mwalimu Pongwe,mimi mwenyewe ni kati ya wazee wa joro pale nyuma kwa dada blandina,Makongo ya sasa haiwezi kuwa km ya zamani
 
Kumbe vijana wa Makongo tupo wengi humu?!

Mimi nilisoma O level pale, nilikuwa nikiishi pale pale shule, bweni la Timba. Namkumbuka sana Master Mayebe na magwanda yake, Marehemu afande Miraji na makonzi yake, Malongoli na sauti lake, Yule babu wa french (I heard he's dead now, R.I.P).
 
Ndugu umenikumbusha mbali sana,huo wimbo wa shule aliutunga mwalimu Pongwe,mimi mwenyewe ni kati ya wazee wa joro pale nyuma kwa dada blandina,Makongo ya sasa haiwezi kuwa km ya zamani

Hahah, mkuu dada blandina alikua anakinukisha sana kuliko hata Siso muuza mihogo.
 
Kumbe vijana wa Makongo tupo wengi humu?!

Mimi nilisoma O level pale, nilikuwa nikiishi pale pale shule, bweni la Timba. Namkumbuka sana Master Mayebe na magwanda yake, Malongoli na sauti lake, Yule babu wa french (I heard he's dead now, R.I.P).

Malongoli alikua anatia stiki kwa sifa mkuu, halaf akiona watoto wazuri anawapotezea. Kuna mtu anaitwa Msemo a.k.a speed 700
 
Kuna mwalimu mmoja anaitwa Mr Chuwa anatembea kama kiberenge!!!!

......alikua a.k.a mabaga!!!!vipi mchakamchaka wa jmos......kitu mpk kwa mkullu wa majeshi ukidoji bruce anakuchana ------!!!au we'ulikua “kibito"?
 
Daahhh,Makongo ilikua kama depo bandugu!!!!kuna siku nlichelewa nkakuta late Miraji getini......ahhh ilikua sooo,mara akaibuka mc babu Ayubu(msanii) nae kumbe kachelewa asa ile late Miraji kumwona tu akamwambia“wee'nanhiiii,leo napiga viboko viwili tuuu.........ila kwasababu wewe(Ayubu) ni maarufu nitakupa BONUS ya viwili!!kwahiyo vitakua vinneee!........jamaa akala kunjo wiki bee!!!!
 

......eeehh,marieeta,kanizalila mwana wizauti hazibendi!!!!!..hahahaaaha!!!mzushi alikua na lugha chafu yule......hadi mbele ya watoto zake wa kuzaa!!!mzee wa viingleza vya “give me PEN RED..........aloooo we'mi'ndo nshasema,lete hiyo BIN DUST" sio unaleta ushamba wako wa nyantila huko......hapa hakuna super wala regular!!!!ujifanya mjanja mi'nakuchana “makota"
 
Siso nilimkimbia muda sasa,kwa wale wa bweni mnamkumbuka master scout,jamaa alikuwa mnoko mbaya

.....ahhh,mata skauti hakua mnoko.....alikua“ngapu"zeze!!!dah,tulimlia mingo tumtimbe ila bruce na makasi mixa anko piya walimsevu!!!!!mngese sana yule jamaa!
 
Wale wa spoti.......tunamkumbuka sana KANAKAMFUMU!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…