once a Kamanda always a Kamanda. rest in peace.RIP kamanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
once a Kamanda always a Kamanda. rest in peace.RIP kamanda
Sema pole kwa Watanzania. Hakuwa wa Chadema pekee, hata "sisi" CCM alikuwa wa kwetuDuh...!.
Poleni sana Chadema kwa msiba huu mkubwa.
RIP Dr. Milton Makongoro Mahanga.
P
UFU. :14:13
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
Iwapo amelala ktk Bwana ni heri siku atakaporudi mara ya pili tutaonana naye
Uzuri ni kwamba amefariki akiwa tayari ameshatoka katika kile chama Cha kishetani ccm. RIP Dr. Makongoro
Hapo hana dhambi tenaUzuri ni kwamba amefariki akiwa tayari ameshatoka katika kile chama Cha kishetani ccm. RIP Dr. Makongoro
Umesema kweli mkuuNdiyo ni kama yeye kalala kwa Bwana, na wewe pia uishi au ufe katika Bwana. Vinginevyo mtaonanaje na wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P Kamanda una kheri kwa kuwa ulishamamia kundi la Malaika hivyo umeondoka ukiwa huna roho ya dhambi kama ya waleeeeeTaarifa mbaya tusizozitegemea tulizozipata asubuhi hii mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Ilala Dr Milton Makongoro Mahanga amefariki dunia.
Tutazidi kupeana taarifa za taratibu nyingine
View attachment 1396582
Jamani unatoa sana Quote za BibleUFU. :14:13
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
Iwapo amelala ktk Bwana ni heri siku atakaporudi mara ya pili tutaonana naye