Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakunaga msiba Mdogo mkuu.Duh...!.
Poleni sana Chadema kwa msiba huu mkubwa.
RIP Dr. Milton Makongoro Mahanga.
P
Uzuri ni kwamba amefariki akiwa tayari ameshatoka katika kile chama Cha kishetani ccm. RIP Dr. Makongoro
Nilidhani unatuhusu watu wote, mbona tunabaguana?Duh...!.
Poleni sana Chadema kwa msiba huu mkubwa.
RIP Dr. Milton Makongoro Mahanga.
P
Doo ujumbe mzito sana huu mkuu, bt wa matumain.UFU. :14:13
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
Iwapo amelala ktk Bwana ni heri siku atakaporudi mara ya pili tutaonana naye