Makongoro na ngozi za ng'ombe zimekuwa chakula kinachokidhi mahitaji ya Watanzania. Hali ya maisha ni ngumu

Soup ya kongoro inakata hangover haraka sana
Hujui kitu hiyo kitu hata huko ulaya inapendwa sana inaitwa Paya Soup, hui kitu wazungu wanaijua sana

Paya soup or bone broth is made from leg bones and hoofs of goat or lamb. It is a rich source of nutrients and minerals and is also considered an immunity booster. Mutton Paya Soup is specially prepared for elders or the ones who suffer from back pain or joints pain
 
Hilo ufanyalo ni zuri sana, ila hakikisha yamesafishwa vizuri sana
 
Vijana kufuga samaki ni fursa kubwa sana, ufugaji wake ni rahisi sana na hauhitaji capital kubwa, jiongezeni sio mnalia lia njaa tuu kila siku na kuajiriwa ajira za kimaskini
Samaki wa kufungwa hawafai kwa binadamu
 
Nilijaribu supu ya ubongo wa ng'ombe nilishindwa kuimaliza. Kichefu chefu kilipanda mpaka puani. Mwe. Mnajirahidi mnaoiweza, nyie hamna mtakachoshindwa kula duniani.
Nilienda kwenye tambiko kijijini chakula kilikuwa supu ya kondoo aliyenona ikiwa haina chumvi, limao wala kiungo chochote kile. Pata picha supu ya mkia wa kondoo unalazimika unywe. Ilikuwa siku ngumu zaidi.
 
Labda kwa nyie wa daslamu Ila huku mwangonela mbeya ndani ndani hiyo kitu inaheshimika na inaliwa Toka miaka hiyoo na Kama bajeti yako ni ndogoo huwezi kula mara kwa mara mkuu
 
Aiseee🤦😃😂
 
Aiseee🤦😃😂
 
kwa taarifa yako makongoro ya ng'ombeni dawa kwa wenye matatizo ya miguu!!!,,,naprotini inayopatikana kwenye nyama na makongoro pamoja na ngozi ni ileile,na kwa taarifa tu....makongoro na ngozi hazina mafuta {kolestro}...ukila makongoro na ngozi hauoti kitambi tofauti na nyama !!!!!!mimi mwenyewe bila kudangan'ya,ata kama na laki tatu mfukoni,,,nikitoka kazini nikiingia bar,kabla ya kufanya chochote lazma niagize kongoro tena "bomba"" wewe unafikiri baba wa taifa mwalimu JULIUS KAMABRAGE NYERERE alikuwa mjinga kumwita manae 'MAKONGORO??????......kunaki2 alikigundua kwenye supu hiyo pale walipokuwa wakimwagilia miyoyo yao na mzee WARIOBA ndo akaona amwite mwanae MAKONGORO NYERERE ili kuienzi supu hiyo!!!"makongoro hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…