😁😁😁😁Salma angekuwa Mke wa Hayati Julius Nyerere angetaka atokee kwny note ya elf 5
Huyo mama ni mroho na tena hatosheki 😃Salma angekuwa Mke wa Hayati Julius Nyerere labda angetaka atokee kwny note ya elf 5 ili kuenzi kazi yake nzito ya u first lady ya miaka 23
Naunga mkono hoja mama Maria hana makuu hebu fikiria mitoto yote mikubwa akiwemo Makongoro inaishi kwa mama yaoAkiongea na East Africa Radio leo kuhusu maadhimisho ya Miaka 100 ya Nyerere, Makongoro Nyerere ametoa “kifumbo” ambacho wachambuzi wa mambo wanahusisha na kauli ya mama Salma Kikwete kuhusu mafao ya wenza wa marais.
"Mama Maria Nyerere kama siku 14 zilizopita nilipata taarifa kutoka kwa shemeji zangu ambao aliwaita, akasema kwamba angependa kumkumbuka marehemu mume wake akiwa na watu kadhaa, Mama Maria Nyerere hana makuu yeye alitaka jambo dogo tu,"- Makongoro Nyerere
#Miaka100YaMwlNyerere.
Anakula pensheni ya mume wake.Analipwa pensheni?
Good kuacha yule malaya hatoshekiAkiongea na East Africa Radio leo kuhusu maadhimisho ya Miaka 100 ya Nyerere, Makongoro Nyerere ametoa “kifumbo” ambacho wachambuzi wa mambo wanahusisha na kauli ya mama Salma Kikwete kuhusu mafao ya wenza wa marais.
"Mama Maria Nyerere kama siku 14 zilizopita nilipata taarifa kutoka kwa shemeji zangu ambao aliwaita, akasema kwamba angependa kumkumbuka marehemu mume wake akiwa na watu kadhaa, Mama Maria Nyerere hana makuu yeye alitaka jambo dogo tu,"- Makongoro Nyerere
#Miaka100YaMwlNyerere.
View attachment 2197480
Yule anaweza hata kujiuzaYule mama wa Msoga ana tamaa sana
Jamaa huwa hawajishughulishe zaidi ya kutumia jina la Baba yaoNaunga mkono hoja mama Maria hana makuu hebu fikiria mitoto yote mikubwa akiwemo Makongoro inaishi kwa mama yao
Watoto wa kike na waume zao kula kulala kwa Maria Nyerere likiwemo li zungu la Ulaya lililo pa mtoto wa Nyerere linaishi kwa pesa ya mama Maria Nyerere
Yaani ana familia ya mijitu mizima na wake zao na watoto zao wote bill kwa Maria Nyerere na ka Pension kake ka pesa ya mumewe
Mama Samia Walau aliona ampunguzie mzogo kwa kumpa ukuu wa mkoa Makongoro baada ya kuona mijitu mizima inaishi kwa mama haiwezi kujitegemea!! Na umri wao mkubwa!!
Kweli maria hana makuu aisee ukifika Butiama ni aibu kwa hiyo mitoto ya Nyerere si kuwa haukuwa na kazi huyo.Makongoro alishakuwa hadi mbunge lakini alikuwa kula kulala kwa mama yake!!
Kuna watu huwa hawana shukrani angalia hii nyumba waliyojengewa na serikali Kawe licha ya kujengewa nyingine Msoga.Huyo mama ni mroho na tena hatosheki 😃
Uko sahihiJamaa huwa hawajishughulishe zaidi ya kutumia jina la Baba yao
Ulishawahi kufika kwa Mama Maria?Naunga mkono hoja mama Maria hana makuu hebu fikiria mitoto yote mikubwa akiwemo Makongoro inaishi kwa mama yao
Watoto wa kike na waume zao kula kulala kwa Maria Nyerere likiwemo li zungu la Ulaya lililo pa mtoto wa Nyerere linaishi kwa pesa ya mama Maria Nyerere
Makongoro anaishi ARUSHA na ndio makazi yake ya kudumu tangu enzi za Mwalimu, unasemaje Makongoro anaishi kwa Mama yake?Yaani ana familia ya mijitu mizima na wake zao na watoto zao wote bill kwa Maria Nyerere na ka Pension kake ka pesa ya mumewe
Mama Samia Walau aliona ampunguzie mzogo kwa kumpa ukuu wa mkoa Makongoro baada ya kuona mijitu mizima inaishi kwa mama haiwezi kujitegemea!! Na umri wao mkubwa!!
Una matatizo ya AKILI siyo bure.Kweli maria hana makuu aisee ukifika Butiama ni aibu kwa hiyo mitoto ya Nyerere si kuwa haukuwa na kazi huyo.Makongoro alishakuwa hadi mbunge lakini alikuwa kula kulala kwa mama yake!!
Kabisa mkuu, mtu tangu usichana wake analishwa na serikali, kafika mpaka utu uzima na wajukuu juu bado anataka kuongezewa stahiki zake.Yule anaweza hata kujiuza