jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Lazima wale maana Baba Yao kafanya mambo makubwa Africa ndiyo maana Mwl akapewa mpaka mitaa kwenye baadhi ya nchi za Africa kwaiyo watoto na wajuu wake Kula kulala kwa Kodi zetu ni sahiiiNaunga mkono hoja mama Maria hana makuu hebu fikiria mitoto yote mikubwa akiwemo Makongoro inaishi kwa mama yao
Watoto wa kike na waume zao kula kulala kwa Maria Nyerere likiwemo li zungu la Ulaya lililio oa mtoto wa Nyerere linaishi kwa pesa ya mama Maria Nyerere
Yaani ana familia ya mijitu mizima na wake zao na watoto zao wote bill kwa Maria Nyerere na ka Pension kake ka pesa ya mumewe
Mama Samia Walau aliona ampunguzie mzigo kwa kumpa ukuu wa mkoa Makongoro baada ya kuona mijitu mizima inaishi kwa mama haiwezi kujitegemea!! Na umri wao mkubwa!!
Kweli maria hana makuu aisee ukifika Butiama ni aibu kwa hiyo mitoto ya Nyerere si kuwa haikuwa na kazi huyo.Makongoro alishakuwa hadi mbunge lakini alikuwa kula kulala kwa mama yake!!
Sent using Jamii Forums mobile app