Makongoro Nyerere: Mama Maria Nyerere yeye hana makuu

Makongoro Nyerere: Mama Maria Nyerere yeye hana makuu

Changudo la kujiuza kwa watoto wa Nyerere wana nini cha maana? Hawana pesa wala maisha kula kulala kwa mama yao najiuza kwa ajili ya jina au ?

Makongoro mwenyewe alimwambia mama Samia kuwa uteuzi kapewa ukiuliza kufanya nini kikubwa unaambiwa mtoto wa Nyerere!!
Kwa hiyo nijiuze kwa jina tu kuwa huyu familia ya Nyerere!!!??

Mkewe Makongoro alimkimbia baada ya kuona kuolewa na jina la mtoto wa Nyerere kumbe hamna kitu!! Utakula Jina? Wakati wao wenyewe kula kulala kwa bili mama yao Maria Nyerere watampa nini changudoa wakati hata pa kulala pa kwao hawana wanalala kwa mama yao
Unakosa unachohitaji ndiyo sababu umekurupuka, ungepata yote uliyokunya hapa tusingeyajua! Kaa kwa kutulia!
 
Akiongea na East Africa Radio leo kuhusu maadhimisho ya Miaka 100 ya Nyerere, Makongoro Nyerere ametoa “kifumbo” ambacho wachambuzi wa mambo wanahusisha na kauli ya mama Salma Kikwete kuhusu mafao ya wenza wa marais.

"Mama Maria Nyerere kama siku 14 zilizopita nilipata taarifa kutoka kwa shemeji zangu ambao aliwaita, akasema kwamba angependa kumkumbuka marehemu mume wake akiwa na watu kadhaa, Mama Maria Nyerere hana makuu yeye alitaka jambo dogo tu,"- Makongoro Nyerere

#Miaka100YaMwlNyerere.

View attachment 2197480
safi.Ila mama salma ameniudhi ulafi huu haufai,mahela wanayo bado na zaidi.Jamani laana nyingine huja kwa ulafi.
 
Mpeni heshima mzee Kikwete. Anaingiaje hapa sasa kwa maoni yaliyotolewa na Mbunge? Hata mnavyo mkosoa Mama Salma iwe kwa maneno ya heshima. Nimesoma comments nyingi humu lugha kali ya matusi imetumika. Si sahihi kabisa. Watanzania tuna ustaarabu wetu wa kujadili mambo.🙏🙏🙏


Kama angekuwa ameweza kum control mkewe,hata huo ubunge wenyewe angemzuia huyo mkewe


Unaweza kuniambia kwenye ubunge mkewe anatafuta nini kwa sasa?


Kama alishindwa kusaidia watu akiwa first lady ndio ataweza sasa hivi akiwa mbunge?
 
Naunga mkono hoja mama Maria hana makuu hebu fikiria mitoto yote mikubwa akiwemo Makongoro inaishi kwa mama yao

Watoto wa kike na waume zao kula kulala kwa Maria Nyerere likiwemo li zungu la Ulaya lililio oa mtoto wa Nyerere linaishi kwa pesa ya mama Maria Nyerere

Yaani ana familia ya mijitu mizima na wake zao na watoto zao wote bill kwa Maria Nyerere na ka Pension kake ka pesa ya mumewe

Mama Samia Walau aliona ampunguzie mzigo kwa kumpa ukuu wa mkoa Makongoro baada ya kuona mijitu mizima inaishi kwa mama haiwezi kujitegemea!! Na umri wao mkubwa!!

Kweli maria hana makuu aisee ukifika Butiama ni aibu kwa hiyo mitoto ya Nyerere si kuwa haikuwa na kazi huyo.Makongoro alishakuwa hadi mbunge lakini alikuwa kula kulala kwa mama yake!!
Mkuu,umewasimanga hadi basi.Watoto hawakui kwa mzazi.🤔🤔🤔
 
Watanzania acheni nongwa. Ni kweli Msoga Gang wana mambo yenye kero kwa wananchi.

Lakini tusimhukumu Mama Salma kwa sisi kushindwa kumuelewa au kuelewa hoja yake. Mh. Salma anadai haki yake, yeye alikuwa mwalimu na akaachishwa kazi ili awe karibu na Rais. Je, asidai haki yake?

Yeye huyo kataka uwepo utaratibu wa kuheshimu fani au kazi ya mwenzi wa Rais...yaani wasiachwe tu bila kazi ya kufanya bali wapewe nafasi. Ikiwa wataachwa serikali iweke utaratibu nao kupewa chochote.

Huu utaratibu upo nchi zingine
 
Naunga mkono hoja mama Maria hana makuu hebu fikiria mitoto yote mikubwa akiwemo Makongoro inaishi kwa mama yao

Watoto wa kike na waume zao kula kulala kwa Maria Nyerere likiwemo li zungu la Ulaya lililio oa mtoto wa Nyerere linaishi kwa pesa ya mama Maria Nyerere

Yaani ana familia ya mijitu mizima na wake zao na watoto zao wote bill kwa Maria Nyerere na ka Pension kake ka pesa ya mumewe

Mama Samia Walau aliona ampunguzie mzigo kwa kumpa ukuu wa mkoa Makongoro baada ya kuona mijitu mizima inaishi kwa mama haiwezi kujitegemea!! Na umri wao mkubwa!!

Kweli maria hana makuu aisee ukifika Butiama ni aibu kwa hiyo mitoto ya Nyerere si kuwa haikuwa na kazi huyo.Makongoro alishakuwa hadi mbunge lakini alikuwa kula kulala kwa mama yake!!
Ila pigo hili ni type ya sgang kbs!! Umetoa milio yote 😂😂 lkn makongoro kwake Arusha madaraka yupo cnd. Machuki ya ki push gang achaneni nayo
 
Mpeni heshima mzee Kikwete. Anaingiaje hapa sasa kwa maoni yaliyotolewa na Mbunge? Hata mnavyo mkosoa Mama Salma iwe kwa maneno ya heshima. Nimesoma comments nyingi humu lugha kali ya matusi imetumika. Si sahihi kabisa. Watanzania tuna ustaarabu wetu wa kujadili mambo.[emoji120][emoji120][emoji120]
Mbona kwa Magufuli hamtaki itumike lugha ya staha?acha wamtukane tu
 
Mbona kwa Magufuli hamtaki itumike lugha ya staha?acha wamtukane tu
Nawezaje kuanza kumjadili Hayati Dk. Magufuli ambaye hawezi kujibu chochote? Na unadhani nafurahishwa na baadhi wanavyofanya kwa Dk. Magufuli? Kiongozi aliyetumikia nchi kwa uzalendo kabisa na kuanza mapinduzi makubwa ya maendeleo kisekta watu wanamdhalilisha!

Ninachosisitiza ni ustaarabu wetu wa Kitanzania. Mwacheni mzee Kikwete apumzike. Imetosha sasa. Sisi tunamheshimu alikuwa Mkuu wa nchi, Rais na Amiri Jeshi Mkuu kwa miaka 10# Tukosoe kwa staha na kuheshimu viongozi wetu. 🙏🙏🙏
 
Mama Salma ajitafakari.
Wapiga Kura wake hawajamtuma kwenda kutafuta maslahi yake binafsi.hayo ni maslahi yake binafsi
 
Sio Bibi ndo anapenda familia Yake iwe hivyo?
unaweza ukaishi nyumbani kwenu lakini una kazi ya kufanya.
Mbaya ukiwa upo unakaa kwenu hata mia hauuingizi.
SI unaona Elon musk anakaa kwa marafiki zake nyumba hana
Naunga mkono hoja mama Maria hana makuu hebu fikiria mitoto yote mikubwa akiwemo Makongoro inaishi kwa mama yao

Watoto wa kike na waume zao kula kulala kwa Maria Nyerere likiwemo li zungu la Ulaya lililio oa mtoto wa Nyerere linaishi kwa pesa ya mama Maria Nyerere

Yaani ana familia ya mijitu mizima na wake zao na watoto zao wote bill kwa Maria Nyerere na ka Pension kake ka pesa ya mumewe

Mama Samia Walau aliona ampunguzie mzigo kwa kumpa ukuu wa mkoa Makongoro baada ya kuona mijitu mizima inaishi kwa mama haiwezi kujitegemea!! Na umri wao mkubwa!!

Kweli maria hana makuu aisee ukifika Butiama ni aibu kwa hiyo mitoto ya Nyerere si kuwa haikuwa na kazi huyo.Makongoro alishakuwa hadi mbunge lakini alikuwa kula kulala kwa mama yake!!
 
Watawala wanavyozidi kuchochea hisia za watawaliwa.

Ipo siku uvumilivu utawashinda. Na hawataamini kitakachowapata.

As no situation is permanent.

Wamejisahau sana.
 
Ndipo mtakaposhangaa labda hawa wenzi wana kikoba chao na Mh Mama Salma katumwa na wana kikoba wenzake awasemee kwa vile ni mbunge. Yote kwa yote hawa Major Generals wawili wa JWTZ waliopewa mbuzi jike mwenye mimba na Mama Maria Nyerere wamefanya nini kwa Mwl/ Familia ya Mwl kilicho sababisha hiyo zawadi.
 
Bill ya maisha kwa Maria Nyerere kwa wote popote walipo iwe Butiama,Msasani au Canada

Nyerere ana watoto nane jumla wawili nafikiri wamefariki sita wako hai bill kwake
Bill kwa mama kula kulala kwa mama
Mbona umeamua kuwachafua watu tena bila kosa? Huyo binti wa Mwl. na mume wake wapo Butiama wanaendesha hoteli
yao tena wanalima huko. Wametoa ajira kwa watu kadhaa kwenye biashara zao, halafu unakuja na kumsema vibaya humu! Makongoro umeambiwa siku zote yupo Arusha au umesahau/hujui aliwahi kuwa mbunge Arusha?
 
Naunga mkono hoja mama Maria hana makuu hebu fikiria mitoto yote mikubwa akiwemo Makongoro inaishi kwa mama yao

Watoto wa kike na waume zao kula kulala kwa Maria Nyerere likiwemo li zungu la Ulaya lililio oa mtoto wa Nyerere linaishi kwa pesa ya mama Maria Nyerere

Yaani ana familia ya mijitu mizima na wake zao na watoto zao wote bill kwa Maria Nyerere na ka Pension kake ka pesa ya mumewe

Mama Samia Walau aliona ampunguzie mzigo kwa kumpa ukuu wa mkoa Makongoro baada ya kuona mijitu mizima inaishi kwa mama haiwezi kujitegemea!! Na umri wao mkubwa!!

Kweli maria hana makuu aisee ukifika Butiama ni aibu kwa hiyo mitoto ya Nyerere si kuwa haikuwa na kazi huyo.Makongoro alishakuwa hadi mbunge lakini alikuwa kula kulala kwa mama yake!!
Na Andrew alikua rubani wa ndege za kijeshi.
 
Ulishawahi kufika kwa Mama Maria?

Makongoro anaishi ARUSHA na ndio makazi yake ya kudumu tangu enzi za Mwalimu, unasemaje Makongoro anaishi kwa Mama yake?

Una matatizo ya AKILI siyo bure.

Kwanza Butiama, Hakuna familia ya Nyerere.

Madaraka anaishi Canada na ana Mambo yake.

Mama Maria anaishi Msasani.

Makongoro anaishi ARUSHA na amewahi kuwa Mbunge wa Arusha miaka ya 1995 ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi.
Chuki ni sehemu ya DNA ya baadhi ya watanzania.
 
Ameonyesha alivyo mlafi sana.
Hiyo familia imekaa kifisadi sana.
Mama Nyerere na Janet Magufuli wamebarikiwa utulivu na hawana makuu.
Mkuu hata unaibu waziri wa Ridhiwani itakuwa ni presha ya Mama yake wa kufikia. Kuna mambo ya kijinga yanaendelea kufanyika nchini awamu hii ya sita na presha inatoka kwa huyo Mama na wengine wa aina yake.

Rais Samia ana wakati mgumu sana ni wa kumuombea.
 
Back
Top Bottom