Makongoro Nyerere na mfano wa Yanga kuiokoa Simba

Makongoro Nyerere na mfano wa Yanga kuiokoa Simba

abel p

Member
Joined
May 8, 2020
Posts
54
Reaction score
61
Wakuu salam leo nilikuwa nafuatilia kwa kalibu kampeini za Magufuli kule mkoani mara mara baada ya kupanda kaka wa taifa kama alivyoitwa na katibu makongoro alitiwa mifano mingi mizuri ila miwili tu mifano iliyo nivutia

1. Alisema huwezi kukumbatia jiko la makaa ya moto
2. Alitowa mfano wa yanga na simba akidai kuwa wale smba walipotaka kushuka daraja yanga waliamuwa kuwabeba simba kwa mbeleko ili wasishuke daraja wakiamini kuwa ikiwa simba atashuka burudani itakosekana je muliomuwlewa makongoro akimaanisha nini
 
makongoro anakili za kiutwala,anaamanisha.

1:huwezi kuing'ang'ania ccm wakati imeharibika imepoteza muelekeo:

2:nchi ikosa upinzani haifai na haiwezi kuwa na maendeleo,lazima ccm iubebe upinzani kama simba walivyowabeba yanga
 
Mama Maria ndiyo aliongea point tupo.

Huyo Makongoro alikua ameshakunywa K.vant za kupima jero-jero ndiyo maana huwezi kumuelewa.
Hivi kuna mtu mwenye akili anaweza kumsikiliza Makongoro Nyerere? Yule ni loser, kwao tu wazanaki wenzake hawamtaki wakampa kura 4 pamoja na yake zikawa 5, ana kitu gani cha kukiambia kizazi cha sasa?
 
Mama yake ndio alisema ukweli wote kuwa wamebebwa kutoka Butiama ili kuongeza idadi mkutanoni na walipangiwa maneno ya kuzungumza.

Sasa Makongoro sijajua kama hayo ni maneno yake kutoka kichwani mwake au ni maneno aliyopangiwa kusema?
 
Mama Maria ndiyo aliongea point tupo.

Huyo Makongoro alikua ameshakunywa K.vant za kupima jero-jero ndiyo maana huwezi kumuelewa.
Mama kawaumbua sio kidogo. Ajabu kuna watu hata hawaoni kuwa hata mama Maria ambaye mumewe ni muasisi wa ccm kaichoka ccm wao wameng'ang'ania kama luba
IMG-20200905-WA0015.jpg
 
makongoro anakili za kiutwala,anaamanisha
1:huwezi kuing'ang'ania ccm wakati imeharibika imepoteza muelekeo:
2:nchi ikosa upinzani haifai na haiwezi kuwa na maendeleo,lazima ccm iubebe upinzani kama simba walivyowabeba yanga
Makongoro hamna kitu apunguze ulevi

HIVI kwa nini alishirikishwa? Anafika kampeni kalewa anaanza hotuba miwani yangu hoyeeee,kofia yangu hoyee

Hao waliompa kura tano kura za maoni alipoomba kugombea ubunge wa CCM wanatakiwa watafutwe wachapwe viboko walimpaje kura zote hizo Makongoro? Hakutakiwa apate hata moja
 
Hivi kuna mtu mwenye akili anaweza kumsikiliza Makongoro Nyerere? Yule ni loser, kwao tu wazanaki wenzake hawamtaki wakampa kura 4 pamoja na yake zikawa 5, ana kitu gani cha kukiambia kizazi cha sasa?
Hapo ujue moja ya mama yake, nyingine ya mke wake na ya mtoto wake
 
makongoro anakili za kiutwala,anaamanisha
1:huwezi kuing'ang'ania ccm wakati imeharibika imepoteza muelekeo:
2:nchi ikosa upinzani haifai na haiwezi kuwa na maendeleo,lazima ccm iubebe upinzani kama simba walivyowabeba yanga
Ni kweli lakini sio chadomo waletao vurugu kila uchao
 
Magufuli alimdharau mtu kama kinana ambao ni wataalamu wa fitina za siasa wanajua tukienda sehemu fulani nini naongea anaenda na kina polepole ambao kazi yao ni kuabudu na kutukuza
 
Back
Top Bottom