Mshindi ndio Anapata faida.
pesa anayolipwa mshindi hata kama ni Elfu 10 tu, si kitu
Kikubwa anachata Ni umaarufu na Fursa.
Fursa Nyingi sana Ukiomba huku ukidai wewe ni Miss Tanzania, wanakuchukua chap.
ndo wanakujaga kwenda kutuwakilisha ulaya hao, mambo mbalimbali, hujui?