Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
1st
2st
3st
Wanafunzi wote wa darasa la saba wamepasi mtihani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1st
Kkkk hatari sana1st
2st
3st
Wanafunzi wote wa darasa la saba wamepasi mtihani.
Well saidMshindi ndio Anapata faida.
pesa anayolipwa mshindi hata kama ni Elfu 10 tu, si kitu
Kikubwa anachata Ni umaarufu na Fursa.
Fursa Nyingi sana Ukiomba huku ukidai wewe ni Miss Tanzania, wanakuchukua chap.
ndo wanakujaga kwenda kutuwakilisha ulaya hao, mambo mbalimbali, hujui?
Tutumie lugha yetu ya Taifa.Hiyo lugha ni janga la Taifa... Nini kifanyike?
Tutumie lugha yetu ya Taifa.