Makosa kama haya ni aibu kubwa kwa nchi yetu

Makosa kama haya ni aibu kubwa kwa nchi yetu

Mshindi ndio Anapata faida.
pesa anayolipwa mshindi hata kama ni Elfu 10 tu, si kitu
Kikubwa anachata Ni umaarufu na Fursa.

Fursa Nyingi sana Ukiomba huku ukidai wewe ni Miss Tanzania, wanakuchukua chap.

ndo wanakujaga kwenda kutuwakilisha ulaya hao, mambo mbalimbali, hujui?
Well said
 
Back
Top Bottom